Mtu akianza kuzungumzia personalities ujue ameishiwa hoja. Mimi ni mtumishi wa umma, hilo lipo wazi, ila hujajibu hojaumri mkubwa lakini uwezo wako wa kufikiria ni mdogo, no wonder ni mtumishi wa serikali.
Kama standing order ya KM utumishi inasema serikali italipa mshahara mwisho wa mwezi, kwanini basi huwa wanalipa tarehe zisizo za mwisho wa mwezi?Kulipa mshahara wa May kabla ya tarehe moja June si makosa.
Kuwahisha mshahara kabla ya tarehe ya mwisho kabisa ya kulipa mshahara si makosa.
Kuchelewesha mshahara ndiyo makosa. Yani ikifika tarehe 2 June halafu mshahara wa May haujalipwa, hilo ndilo kosa. Au ikifika tarehe 2 July halafu mshahara wa June haujalipwa, hilo ndilo kosa.
Lakini serikali ikikulipa mshahara wa June tarehe 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30 June, hilo si kosa.
Standing order ya Katibu Mkuu Utumishi inasema kwa serikali italipa mshahara mwisho wa mwezi.
Mwisho wa mwezi June haujafika bado.
Serikali ina muda mpaka tarehe 30 June kulipa mshahara.
Usichoelewa nini?
Logically nikikulipa kabla ya deadline si kosa, kwa sababu sijakucheleweshea mshahara, nikikulipa baada ya deadline ni kosa kwa sababu nimekucheleweshea mshahara.Kama standing order ya KM utumishi inasema serikali italipa mshahara mwisho wa mwezi, kwanini basi huwa wanalipa tarehe zisizo za mwisho wa mwezi?
Hoja yako kusema huwa wanakwepa mahesabu yao yasijekuzidi mwisho wa mwezi haina mashiko, huoni hili ni kosa lao? hawafuati sheria zao kwasababu hawana uhakika na mambo yao.
Wala hii sio favour kwa mfanyakazi kama ulivyosema mwanzo kwasababu tayari anakuwa ameshafanya kazi kwa siku thelathini.
Hope umenielewa.
In your wet dreams.Wewe vyeti feki..tunakujua vizuri.
Ok, afadhali sasa tumalize.Logically nikikulipa kabla ya deadline si kosa, kwa sababu sijakucheleweshea mshahara, nikikulipa baada ya deadline ni kosa kwa sababu nimekucheleweshea mshahara.
Huelewi nini hapo?
XS§ABkA¿SOCATbhrT¿bTrrF¡VoCAZSW§a§AtCSISÑ@ÆIkOkAZiKUCY¡?SMkekgQSAFQCW§AFQCARÑiCÑKiSAVSÄKWoSgQCC¡?SEkAD2Ø'E¡VoKÑsKA&
Jinsi wanavyochelewa kulipa ndio wanachelewa na wao kukata kodi yao, sasa wafanyabiashara wamegoma automatic hawapati kitu na mishahara yetu wamefungia ambapo tunachangia more than 2.8 trillion kwenye bajeti kupitia kodi zetu sasa tukae tu wao wakose na sie tukose 🤣Ok, afadhali sasa tumalize.
Pale juu ulisema serikali ina mpaka 30 June kulipa mshahara, hapa ukasema kuchelewesha mshahara ni kosa..
Serikali imekosea kwasababu mpaka leo tayari imepitiliza muda wa kumlipa mfanyakazi mshahara, toka tarehe waliyowalipa mwezi wa tano, mpaka leo mwezi wa sita, zimezidi siku thelathini.
Nimetumia maneno yako mwenyewe kukujibu, naamini tumeelewana, mambo ya standing orders za KM utumishi nimeshakwambia wao ndio hawazifuati japo wanajua zipo.
Onyanyua box Huko majuu na kusukumwa mtaro na wazungu?Uzi huu unaonesha jinsi watu wengi wanavyoishi paycheck to paycheck.
Kodi yao Imeshakatwa Siku nyingi sana..Jinsi wanavyochelewa kulipa ndio wanachelewa na wao kukata kodi yao, sasa wafanyabiashara wamegoma automatic hawapati kitu na mishahara yetu wamefungia ambapo tunachangia more than 2.8 trillion kwenye bajeti kupitia kodi zetu sasa tukae tu wao wakose na sie tukose 🤣
Mkuu kwani kodi unayolipa ni ile PAYE tu? Ukipata mshahara si utafanya manunuzi mbalimbali yanayopelekea kulipa kodi? Tuiweke hivyo mkuuKodi yao Imeshakatwa Siku nyingi sana..
Wenyewe wanakupa Take home tu 🤣🤣🤣
Lakini nikuulize mkuu,Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.
Mwezi haujaisha.
Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haujaisha.
Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi gani?Ok, afadhali sasa tumalize.
Pale juu ulisema serikali ina mpaka 30 June kulipa mshahara, hapa ukasema kuchelewesha mshahara ni kosa..
Serikali imekosea kwasababu mpaka leo tayari imepitiliza muda wa kumlipa mfanyakazi mshahara, toka tarehe waliyowalipa mwezi wa tano, mpaka leo mwezi wa sita, zimezidi siku thelathini.
Nimetumia maneno yako mwenyewe kukujibu, naamini tumeelewana, mambo ya standing orders za KM utumishi nimeshakwambia wao ndio hawazifuati japo wanajua zipo.
Za nikuachie wewe jobless ili ugongwe vizuri?Acha kazi
This logical fallacy is called ad hominem.Kama wewe unavy
Onyanyua box Huko majuu na kusukumwa mtaro na wazungu?
Mshahara unalipwa kwa standing order ya Katibu Mkuu utumishi.Lakini nikuulize mkuu,
Ulipaji wa mishahara kwa watumishi wa umma, hauko regulated na sheria yoyote? Hiki unachokiandika ni kwa mujibu wa sheria au ni uelewa wako binafsi tu wa mambo? Binafsi ningependa kufahamu Sir.
Je, kuna muda maalum unaotakiwa kufuatwa kuanzia tarehe ya mwisho ya kulipa mpaka tarehe inayofuata? Kama ipo unaweza kutusaidia kwa ajili ya kujifunza kwakuwa naelewa mkuu una nondo sana na uelewa mpana wa mambo mengi sana
Unazunguka sana, nimeshakwambia serikali yenyewe haifuati hiyo standing order waliyojiwekea, kwanini wao walipe mshahara kabla ya mwisho wa mwezi?Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi gani?
Unaelewa kuwa hakuna mwezi wa "toka tarehe waliyowalipa mwezi wa tano". Kuna January, February, March, April, May, June.
Wewe unahesabu siku, kwa sababu May umelipwa May 23, unayaka ulipwe June 23 pia. Serikali ina mpaka mwisho wa June kulipa mshahara wa June.
The fact kwamba mshahara wa May umelipwa May 23 haimaanishi uhesabu siku 30 baada ya June 23 ulipwe tena.
Ule mshahara wa May umewahishwa tu kuepuka kukosa deadline ya June 1.
Standing order ya serikali inasema mshahara unalipwa mwisho wa mwezi. Mwisho wa mwezi June haujafika bado. Huna haki ya kudai mshahara wa June.
Sasa wewe unadai mshahara gani? Wa May?
Usichoelewa nini?