Wewe Bibi waheshimu Walimu waliokutoa ujinga.Huo mwisho wa mwezi wa kujazwa ujinga.
Mwisho wa mwezi ni mwishoi wa mwezi kama ilivyo kwenye kalenda na inavyojulikana dunia nzima.
Halafu utakuta wewe ni mwalimu unaeendelea kuwajaza ujinga watoto wa kimasikini.
Ni kazi kweli kweliKwani mwisho wa mwezi ni tarehe ngapi?
Acha uongo mbona kijana wangu kaenda kuchukua mshahara muda huu.angalia kupitia simbanking
Lile shetani lenu sie twalikumbuka kwa kutunyima haki yetu ya nyongezq ya mishahara, kukataa kutupandisha madaraja na kukataa kuajiri. Hayo mengine mkumbuke wewe inatoshaWatumishi wa umma meshaanza kumkumbuka Jiwe? Kuna nyakati alikuwa akilipa mishahara yenu mpaka tarehe 19.
Vipi zama hizi? Maana naona vilio ni vingi huku.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?
Tulieni mama yenu Kuna deal la mkopo anasikilizia pahali likitiki mtalipwa tu muwe na subra.Poleni kwa majukumu wakuu!!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..
Leo ni tar24 lakini mpaka sasa (17:58 hrs) mishahara ya watumishi wa serikali haijatoka. Hali hii sio ya kawaida na inatupa hofu kidogo juu ya serikali yetu pendwa chini ya mama Samia, hivyo sisi tusio na access na taarifa za habari tunaomba kufahamishwa kama kuna taarifa yoyote juu ya hili, maana unaweza ukapuuzia kumbe kuna tangazo la kupokea mishahara dirishani (cash in hand) limetolewa na hujalipata.
NB: Hadi sasa watumishi tumetumika mwezi Mzima bila kulipa, from May 24 to June 23..
Asalam Alaikum..
Kwa hiyo,aliekuwa akikipa siku 3 kabla,ndo alikuwa mjinga,siyo? Binadamu jamani,kazi kweli kweli. Kama pesa ipo,na anajitahidi kuwalipa kwa wakati,alikosea wapi? Na wanaolalamika,walifurahi kulipwa siku 2 au 3 kabla,leo wanalia siku 3 zimepita. Madeni mengi au? Ahadi za kina bi furani hazijatimia.Huyo bibi Faiza haelewi ana kichwa kigumu, mfano mzuri mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali ni tar 30 June na siyo tarehe 31 december, Mfundisheni kwamba mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali ni tar 21 au 22, ili kuujaza mwezi kamili.
Wanashusha morale ya kazi mkuuVumilieni
Walimu wa madrasa lakini sidhani km ana elimu zaidi ya hiyoWewe Bibi waheshimu Walimu waliokutoa ujinga.
Hiki ndo kitu kitafuata na majirani etu 254 wametupa nguvu sanaMnashindwa nini kugoma. Msiende kazini
Kama ni mwisho wa mwezi, bado.Ni kazi kweli kweli
Mimi sio wa serikali. Mpaka tarehe zigonge mwisho ila nimewekeza kwenye betting so silii hovyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee mshahara bado, unigawie na mie kiduchuu!!
Lakini wazee wa mabaka hawacheleweshewi ni sisi tuuTulieni kwanza akakope, mna haraka ya nini?
Siku tatu kabla zipi, nahisi na wewe hujui ulichokiandika.Kwa hiyo,aliekuwa akikipa siku 3 kabla,ndo alikuwa mjinga,siyo? Binadamu jamani,kazi kweli kweli. Kama pesa ipo,na anajitahidi kuwalipa kwa wakati,alikosea wapi? Na wanaolalamika,walifurahi kulipwa siku 2 au 3 kabla,leo wanalia siku 3 zimepita. Madeni mengi au? Ahadi za kina bi furani hazijatimia.
Kama unachukulia nmb angalia Salio imetoka.Poleni kwa majukumu wakuu!!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..
Leo ni tar24 lakini mpaka sasa (17:58 hrs) mishahara ya watumishi wa serikali haijatoka. Hali hii sio ya kawaida na inatupa hofu kidogo juu ya serikali yetu pendwa chini ya mama Samia, hivyo sisi tusio na access na taarifa za habari tunaomba kufahamishwa kama kuna taarifa yoyote juu ya hili, maana unaweza ukapuuzia kumbe kuna tangazo la kupokea mishahara dirishani (cash in hand) limetolewa na hujalipata.
NB: Hadi sasa watumishi tumetumika mwezi Mzima bila kulipa, from May 24 to June 23..
Asalam Alaikum..
Mameee hamna jema mbwa nyie
Mama anahusika Kwa sababu taarifa zote lazima zifike kwake.Kwa Kukusahihisha Hapo Mama Hausiki Kwa Lolote Zaidi Ni Taratibu Za Kihasibu Kufunga/Kufungua Mwaka Mpya Wa Serikali
Tulia Unachostahiri Kupata Utapewa Tu Zaidi Uwe Mvumilivu Sana
Binafsi Sioni Tatizo Zaidi Taratibu
Easy tuπππππ mambo yasiwe mengi
Toka wakati wa mwendazake aliwazoesha kutoka 23/kila mwezi!Kwani huaga iyo mishahara yao inatokeaga Tarehe ngapi.