Simple tu, atleast warudishe ule utaratibu wa zamani kuwachukua wote wanaotoka vyuoni, at the same time, waache private schools ziwe na uwezo wa kuajiri walimu wanaomaliza toka vyuoni, huku wakiendelea kuongeza idadi ya walimu mpaka shule zenye uhaba huko vijijini.Kuna makosa mengine yanahitaji mda mrf kuyarekebisha na sio kwa siku kadhaa, mfano suala la ajira kuna graduate zaid ya laki tatu waliolimbikizwa mtaani na mwendazake, kuwapunguza hawa mpk waishe is not overnight process.
Alishapendwa na mama Janet ikamtosha...yaani wewe utasugua benchi hadi akili uzi resetNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbn kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Ni kweli lakini pia lazima kuwe na udhibiti ukiruhusu masharti "rahisi" kwenye sekta kama ya afya utatengeneza tatizo kubwa zaidi.Kwahiyo udhibiti lazima uwepo.Tatizo ni masharti ya walimu kujiajiri. Serikali imeweka masharti magumu mno ya MTU binafsi kumiriki shule. Masharti yote yanafeva matajiri. Kuna watu wanamajengo mitaani, wanakubalika na watu lakini hawakubaliki na serikali na hivyo kutokuwa walipa kodi. Sheria hizi zinazalisha watu wanaoichukia serikali bila sababu, na lazima serikali itambue kwamba haiwezi ajiri kila mtu.
Nchi hii unakuta kijana ni daktari, lakini ni bodaboda, kwa sababu masharti ya kufungua zahanati ni magumu mno, cha ajabu mganga wa kienyeji anaruhusiwa kuendesha huduma hata kwenye banda LA nyasi lakini kijana aliyesomeshwa na serikali tunamuwekea masharti yanayomtia umaskini.
Tanzania kijana amemaliza digrii ya sheria lakini si mwanasheria mpaka aende shule ya sheria kwa nini hicho kinachotolewa kwenye shule ya sheria wasifundishwe watoto zetu ili baada ya digrii wapate mihuri ya mahakama na kujiajiri?
Nchi hii ina sheria nyingi zinazozalisha wazururaji. Tengenezeni sheria zinazowasaidia watu waanzie pale walipo ili kusonga mbele maadamu watu hao wataaminiwa na jamii inayowazunguka. Tusaidieni watanzania, asilimia kubwa ya hawa vijanaa wataalam wametoka kwenye familia maskini. Serikali ikiwasaidia hawa pia itakuwa imezalisha walipa kodi.
Kwanini uogope hali ambayo haijatokea why?Ni kweli lakini pia lazima kuwe na udhibiti ukiruhusu masharti "rahisi" kwenye sekta kama ya afya utatengeneza tatizo kubwa zaidi.Kwahiyo udhibiti lazima uwepo.
Sorry bana, ila nawachana tuu haoo hkl wanaonyata kitaa na suti & tai hawawez endesha hata boda et it is too risk afu wana na engineering zao wana hustle kitaaa hata kama kaz n ya kuchafuka na oil😂😂😂Mzee mbona unanishambulia mimi[emoji23][emoji23]
Mimi nimeuliza tu, kwanza sijasoma ualimu pili nimejiajiri toka 2014..
Nilitaka nijue tu ukubwa wa tatizo.
Pole sana ndugu. Kwanza ningekusihi kuacha kulaumu. Ajira hata wangesema kwa 2016 pekee sidhani kama wote wangepata.Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbn kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Niko foleni hapa Kijibuzi stationery kwa ajili kuifanyia lamination hii comment yako mkuu.Capital is Man Made
Refer to Capital formulation and accumulation concepts as well!!
Mtaji lazima uutengeneze, uulee na uutunze kwa gharama zako
Ghafla ghafla hvyo mkuu itakuwa ngumu kumbuka mwendazake pamoja na cousin wake walikomba kile kibubu kwa miradi ya ovyo ovyo isiyo na tijaSimple tu, atleast warudishe ule utaratibu wa zamani kuwachukua wote wanaotoka vyuoni, at the same time, waache private schools ziwe na uwezo wa kuajiri walimu wanaomaliza toka vyuoni, huku wakiendelea kuongeza idadi ya walimu mpaka shule zenye uhaba huko vijijini.
Mfano ebu cheki ni mabilion mangapi yaliyotumika kufanikisha ile issue ambayo watu wanataka watumie kuanikia mazaoSimple tu, atleast warudishe ule utaratibu wa zamani kuwachukua wote wanaotoka vyuoni, at the same time, waache private schools ziwe na uwezo wa kuajiri walimu wanaomaliza toka vyuoni, huku wakiendelea kuongeza idadi ya walimu mpaka shule zenye uhaba huko vijijini.
Hata Kikwete angekuepo ni Rais asingeweza kuajiri walimu wote yaani graduates wote. kumbuka hata wakati Kikwete anamaliza muda wake Ajira zilikuepo zimeanza kususua tayari kwahiyo graduate wamekuepo wengi mno. Mimi nakumbuka wataalam wa mifugo tulisjiriwa Kwa interview mwaka 2014 ikiwa ni mara ya Kwanza kufanya interview
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mmobila
Muongo sana wewe Taga. Ni mwaka upi wa kikwete alioajili walimu wachache,si wote?Hata Kikwete angekuepo ni Rais asingeweza kuajiri walimu wote yaani graduates wote. kumbuka hata wakati Kikwete anamaliza muda wake Ajira zilikuepo zimeanza kususua tayari kwahiyo graduate wamekuepo wengi mno. Mimi nakumbuka wataalam wa mifugo tulisjiriwa Kwa interview mwaka 2014 ikiwa ni mara ya Kwanza kufanya interview
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Kwasababu kinga ni bora kuliko tiba.
Sawa sawa mkuu.Mtaji anao tayari...Elimu yake
Angalau kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka wahitimu wapya,ila mwendazake miaka sita hajawahi kuajiri MTU kwa hiyo wamejazana mitaani hakuna ajira labda ukajitoleekale kababa kalikuwa na roho ngumu mpaka ikaongezewa uzito Wa pacemaker.Hata Kikwete angekuepo ni Rais asingeweza kuajiri walimu wote yaani graduates wote. kumbuka hata wakati Kikwete anamaliza muda wake Ajira zilikuepo zimeanza kususua tayari kwahiyo graduate wamekuepo wengi mno. Mimi nakumbuka wataalam wa mifugo tulisjiriwa Kwa interview mwaka 2014 ikiwa ni mara ya Kwanza kufanya interview
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Tutqmkumbuka kwa roho mbaya yake mkuu.Mtamkumbuka sana Magufuli.Haya mambo hayakuwepo kabisa awamu ya tano