Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Sijasema wanaajira, nadhani hujanielewa hao wanaweza kujiongeza kuliko aliyesomea kazi ya mshahara wa laki tano.Umeorodhesha kozi nyingi hapo juu....
Kwa hiyo hao wana ajira za kumwaga?!!!
Mathalani mainjinia ili wapate tenda ni rahisi?!!!
Wana uchumi wa kufungua vikampuni uchwara ?!!!
Hao wengine si ndio wanaopanga foleni interview ya watu 10 wenyewe wakiwa 2000?!!!!
Mkuu banaa π€£π€£π€£π€£
πππππππππsasa mkuu unasomeaje kozi ya mshahara wa laki tano.Mkuu ujue unawaumiza madogo....
Kuwa na huruma nao mkuu.....
Mkuu sawa UMETOBOA..ila ujue madogo ni walimu na manesi na taifa linawahitaji pia......πππππππππsasa mkuu unasomeaje kozi ya mshahara wa laki tano.
Sawa mkuu....Sijasema wanaajira, nadhani hujanielewa hao wanaweza kujiongeza kuliko aliyesomea kazi ya mshahara wa laki tano.
Ngumu kumeza hii.Pole sana. Ufupi wapo mpaka waliohitimu masomo ya sayansi na hesabu mwaka 2019, na bado wameajiriwa. Wa 2015 wapo wengi zaidi kuliko makundi mengine. Serikali pia imeajiri wahitimu wengi wenye cheti na stashahada kuliko wale wenye shahada kwa upande wa shule za msingi! Bila shaka lengo lilikuwa ni kukwepa gharama ya kulipa mishahara.
Walimu wenye shahada wa masomo ya Sanaa (Arts) wameajiriwa wachache mpaka inakera! Anyway, hakuna namna. Kumchukia marehemu haiwezi kusaidia chochote kwa sasa. Ushauri wangu ni huu, hizo hasira zihamishie Mtaani! Naamini unaweza ukafanikiwa zaidi kimaisha kuliko hao wanao enda kuwa watumwa wa ajira miaka yao yote.
Angalia tu fursa kwa sasa na mlango wa kutokea. Ukiupata huo, hakika utakuja kujishangaa hapo baadae kwa kudhani ajira ilikuwa ni bora sana kuliko kuajiriwa. Maisha ni vita, hakikisha unapambana mwanzo, mwisho! Never give up!!! [emoji123]
[emoji23][emoji23][emoji23] daaah jaman mweeeh.Nani alikutuma usomee ualimu mkuu, unasoma kozi za kimasikini.
Unazungumzia walimu umesahau kuna graduates wengi wanahitaji Ajira tatizo kusoma Kwa kufikiri lazima mwalimu aajiriwem . Mavyuo mangapi nchini yanatoa hao walimu unafiki wote hao serikalini inaweza kuhimili. Kwa mwaka inawezekana wanahitimu zaidi ya walimu elfu 20.Muongo sana wewe Taga. Ni mwaka upi wa kikwete alioajili walimu wachache,si wote?
Things has changed very fast nakumbuka wakati Sisi ni 2004 mpaka 2007 tupo secondary Mwl wa certificate ndio alitakiwa kufundisha primary school, mwl wa Diploma alitakiwa kufundisha o-level na Mwl wa bachelor alitakiwa kufundisha A-level.2008 to 2020 kumpata Mwl wa kufundisha advance ilikuepo ni mtiti. Sahizi Mwl wa degree anakwenda kufundisha primary school. Sijui after 10 years itakuwajeNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
We bwana acha lawama usije kufuru maan wenzio tumehitim 2019 na ajila tumepata room ments wote[emoji28]Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
pole sana ndg,Mimi kilio changu ni kupanda daraja,yaani ajira ya 2016 kapanda,sisi wa 2014 bado,inaumiza sanaNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Acha uboya, Mpe mtaji.Dhana ya kujiajili ndipo inapopata mashiko
Jiajili mkuu
Boss usikate tamaa, amini ipo siku yako.Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Watu wanaongelea kujiajiri kama kunywa mtori πππIngekuwa ni rahisi kama unavyoandika hapa basi kila mtu angekimbilia huko
Dah kmmmk walaiBoss usikate tamaa, amini ipo siku yako.
Mm hua najisemea 'disappointment ni kitu cha kawaida sana kwa mwanadamu' usijipe matarajio makubwa katika kutafuta kitu. Mimi kila siku nasambaza cv mpaka nalia mana hata kazi ya kujitolea pia hupati.
Nyie mlio overstay mtaani mnatemwa dah!Sio wew tu, mimi hapa nna watu kama 7 hapo nyuma wananitegemea na mm nategemea nipate ajira ya serikali nikope bank nikasomeshe wadogo zangu.. hapa nilipo sina hamu natamani ningepata Namba ya Mheshimiwa Ummy nimlilie maana sina namna.. Kwa kweli next time waangalie Hata Mwaka mtu uliohitimu ili wote tupate kwa Uhakika.. inavunja moyo sana..
Mtu unatembeza CV mpaka kutembeza cv ndo inakuwa kazi yako.Dah kmmmk walai
Hio kazi ulio nayo ishikilie vizuri aisee! Hamna namna ingine utaishi ukitupwa mtaaniπππ!!! Mtaani kugumu sana kmmnnrEbanaaaa eeh[emoji849]