Yah unatembeza CV we mie nilishajikatia tamaa! Mtu aniambie lete CV ntapeleka ila sio kupuyanga una apply ilimradi tu unajipotezea muda tu na kazi hupati ng’oo!Mtu unatembeza CV mpaka kutembeza cv ndo inakuwa kazi yako.
Ila hy slogan ya kuwa disappointment inanifanya nicheke huku nalia mana hakuna namna tena.
Ukizingatia wengine wanaongezeka kama kikokotoo cha Heslb cha retention fees😂😂😂Kuna makosa mengine yanahitaji mda mrf kuyarekebisha na sio kwa siku kadhaa, mfano suala la ajira kuna graduate zaid ya laki tatu waliolimbikizwa mtaani na mwendazake, kuwapunguza hawa mpk waishe is not overnight process.
Watasoma kozi gani mzee labda uwalipie urubani wa million 200 kila mtoto!Mimi wanangu sitowaruhusu kusoma kozi za kiduwanzi hivyo, unesi, ualimu sijui utabibu.
Kwani kuna ulazima wafike chuo kikuu! Wakimaliza form 4 tu waachane na habari za shuleKuna mtoto wa rafiki yangu aliniambia kwa machozi jana, kuwa kuna rafiki yake amepata lakini ilibidi mumewe (wa huyo aliyepata) ilibidi atoe milioni moja ili kuhakikishiwa jina la mke wake kuwepo. Sasa nyie endeleeni kusikiliza kelele za Ummy na bosi wake. Tafuteni hela vijana. Nimeamua kujipanga wanangu wakimaliza elimu wasije wakaajiriwa wakasake noti
Anaongea tu huyo hajui msoto wa mtaani! Hamna cha kozi yenye hela wala ambayo haina!😂😅😅 Injinia usipoajiriwa basi uwe na kampuni utafute tenders! Nje ya hapo unaumiaUmeorodhesha kozi nyingi hapo juu....
Kwa hiyo hao wana ajira za kumwaga?!!!
Mathalani mainjinia ili wapate tenda ni rahisi?!!!
Wana uchumi wa kufungua vikampuni uchwara ?!!!
Hao wengine si ndio wanaopanga foleni interview ya watu 10 wenyewe wakiwa 2000?!!!!
Mkuu banaa 🤣🤣🤣🤣
Sure....Anaongea tu huyo hajui msoto wa mtaani! Hamna cha kozi yenye hela wala ambayo haina!😂😅😅 Injinia usipoajiriwa basi uwe na kampuni utafute tenders! Nje ya hapo unaumia
Kama hakuondoka na akili zenu mbona bado kuna watu wanamlaumu kwa ajira za jana wakati yeye alijiendea zake zaidi ya miezi mitatu sasa?Kama Magufuli alikosea kwanini wengine wasirekebishe makosa yake? au aliondoka na akili zetu!.
Tatizo la ajira Sahiv ni shida ulimwenguni kote. Fanya mishe nyingine hata ndogo ndogo boss utatoboa tyuMtu unatembeza CV mpaka kutembeza cv ndo inakuwa kazi yako.
Ila hy slogan ya kuwa disappointment inanifanya nicheke huku nalia mana hakuna namna tena.
Mkuu binafsi nimefanya kazi ya ulinzi, imenipitisha kwenye ofisi nyingi sana. Nimegundua suala la recruitment lina mambo mengi na mara nyingi linategemea sana culture ya kampuni na kazi inayofanyika.Mtu unatembeza CV mpaka kutembeza cv ndo inakuwa kazi yako.
Ila hy slogan ya kuwa disappointment inanifanya nicheke huku nalia mana hakuna namna tena.
Daaah asee kweli mkuu....ila kazini nako unoko unoko tu yaan[emoji848][emoji848]Hio kazi ulio nayo ishikilie vizuri aisee! Hamna namna ingine utaishi ukitupwa mtaani[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Mtaani kugumu sana kmmnnr
Wanasomaga sms wanazotumiwa, wewe mtafute kwenye mitandao ya kijamii, kweli inauma watu wanaumia huko mitaani hadi tunawaonea huruma.usimwambie akusaidie wewe kama wewe mwambie waajiri kufatana na mwaka.Sio wew tu, mimi hapa nna watu kama 7 hapo nyuma wananitegemea na mm nategemea nipate ajira ya serikali nikope bank nikasomeshe wadogo zangu.. hapa nilipo sina hamu natamani ningepata Namba ya Mheshimiwa Ummy nimlilie maana sina namna.. Kwa kweli next time waangalie Hata Mwaka mtu uliohitimu ili wote tupate kwa Uhakika.. inavunja moyo sana..
Kwahiyo mkuu sasa hivi unajishighilisha na nini?Yah unatembeza CV we mie nilishajikatia tamaa! Mtu aniambie lete CV ntapeleka ila sio kupuyanga una apply ilimradi tu unajipotezea muda tu na kazi hupati ng’oo!
Kazi zipo mikononi kwa watu aisee!
Pole mkuuBoss usikate tamaa, amini ipo siku yako.
Mm hua najisemea 'disappointment ni kitu cha kawaida sana kwa mwanadamu' usijipe matarajio makubwa katika kutafuta kitu. Mimi kila siku nasambaza cv mpaka nalia mana hata kazi ya kujitolea pia hupati.
Badala ya elimu tunayoipata kumsadia mtu kupambana na maisha, inamlemaza , inamfanya aone maisha bila ajira ni mateso, inamletea sonoma, pressure na maradhi yatokanayo na mkazo.Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Hii barua ni nzuri nahisi ni ngumu yeye kumfikia, kwa nini usingemwandikia moja kwa moja kwenye account yake huko insta au tweeter?Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan
Awali ya yote nipende kukusalimu kwa salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (yaani 'kazi iendelee') Nikupe pole kwa kazi nzito ya kuongoza hili taifa letu na pia nakupa hongera ya kufikia nafasi hiyo ya cheo cha juu kabisa kisiasa. DHUMUNI LA BARUA HII. Mimi kitaaluma ni mwalimu na...www.jamiiforums.com
Tatizo ni hali ya uchumi. Serikali haina uwezo wa kuajiri wahitimu wote wa vyuo vya ualimu. Huo ndio ukweli mchungu.Pole sana Mkuu!Nakuelewa sana unachosema!!JK Angekuwepo ange handle hiyo ishu ya Ajira vizuri!!Angekuja na suluhisho!!Hata hivyo Walimu hawatoshi nchini na sector nyingine pia hawatoshi kabisa!!!Huo ndio ukweli!!mama hadi mwakani atafanya kweli!!!
Najishughulisha na utafutaji wa fedha hapa mjini kwa namna tofauti tofauti tu!Kwahiyo mkuu sasa hivi unajishighilisha na nini?