Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

Sisi bado sana..
Wanajesh wanaingia kambini na smartphone za kampuni tofauti...
Kuna siku nilkuwa naset 'radiocall' kuweka channel moja hiv..nikakamata mawasiliano ya maafande...duh
Duuuh hii ni hatari mkuu..
Sikujua kwamba kuna technology hii.
Kwaiyo wafanyeje?
Kila siku tunajifun
 
Afande umeongea kwa uchungu mkubwa sana🥺
 
Ukweli usemwe haiwezekani miaka nenda rudi maonyesho ni Yale Yale wabadilike,watuonyeshe technology za kisasa au mbinu mpya za kupambana na uvamizi.

Vita ya Leo ni ya technology hao makomando kazi zao Kwa sasa ni akili ya kutumia vifaa vya kisasa.
 
Sijui kakuelewa? Kwa kumuongezea sasa SF ya FARDC ilipewa mafunzo maalumu na kaibiles ( Guatemala special force) hivyo vitu ni kawaida mno tena yapo mengine ni zaidi ya hapo. Au afuatilie Kopassus (Indonesia special force) na hapo kuna vitu huonyeshwi vyote.

Huwa tunapenda kudharau vitu siyo kila sehemu mtapeleka drone ingekuwa hivyo hata hao Israel siyaret matkal wangefunzwa hayo ma krav maga ya nini au South na North Korea wangejifunza yale ma tae Kwon do na mazoezi magumu ya nini na wao ndiyo wanaunda kabisa.
 
Ishia hapohapo 💥💥💥 Hawa watoto wakishiba kashata na mihogo wanakuja na story zakulijua Jeshi sana....
 
Wenzetu nje wame-advance kwenye mambo mengi ndio maana tunajifunza kutoka kwao,hao wanaoenda ndio tunawategemea watulete kwenye usasa
anha sawa mkuu sasa swali langu innovation vipi zinafanywa au zipo zilizowahi kufanya na hawa wanaokuja kuvaa nyota baada kusoma nje? , maana huwa naona tu vyeo wanapata + mishahara ila jeshi letu kuwa advanced hatuoni kbsaa.
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…