Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Hilo jeshi liko kizamani mno, Hadi sasa Bado wanatumia Fax na CD/DVD kutunza data zao. Ndio maana huna sifa sana kutumika kupiga raia wasio na silaha.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Sio kila sehemu utatumia Ndege!

Ndio maana kuna kamandi tofauti, anga majini nchi kavu nk

Kila Kamandi zina majukumu yake na zana zake za kimapigano
Ni kweli ila vita kwa sasa 90% ni technology na sio mabavu.
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Bora wangepita ile staili ya kuvaa mabegi wengi kwa paredi la kurusha rusha miguu. Haya wanaofanya hayana mvuto wa kwenye halaiki
 
anha sawa mkuu sasa swali langu innovation vipi zinafanywa au zipo zilizowahi kufanya na hawa wanaokuja kuvaa nyota baada kusoma nje? , maana huwa naona tu vyeo wanapata + mishahara ila jeshi letu kuwa advanced hatuoni kbsaa.
Sasa kama wanasiasa wanaangalia yao tu ya wengine hawayatazami tunafanyeje ndugu yangu lakini tuko dynamic japo kwa mwendo wa kinyonga kama unavyoona mashirika yetu kama.la mzinga.Pia usisahau Kuwa na technology kunahitaji uchumi mkubwa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
mimi nahisi kama huwa mnaongeleaga vitu msivyovijua! Sijui movie zimewaathiri?????!!!
Unakuta mtu anaamini Comando hafi , kwamba kuna watu wanafanya mission 99% sucessful without casualities yani mambo perfect... kwamba unaenda kupambana na watu wasiojitambua unawamudu! Na lolote haliwezi kutokea.

Hivi hamusikii huko kwa watukufu wenu wanakufa mpaka maofisa wa juu kabisa!! Vita haipo kwa ajili ya mipango! Ila mipango ipo kwa ajili ya vita ile just in case! Kuna kuwahi na kuwahiwa! Sasa ukijikuta umeangukia nsituni au eneo la mission haliruhusu drone na hizo mashine zingine zingine unatakiwa sasa ubebe hizo kilo 70 zitakazokusaidia kusurvive mwezi mzima.. utafanyaje?? Na nyie mnataka jeshi zima liwe kama kitengo cha hakers au wanasayansi yani hawanyanyuki kuface mambo magumu kigumu.
[emoji1666]
 
Acha hizo kuna za kirusi Mig 21 fighter jets za 1970's
mzeebaba sidhani kama kuna MiG 21 iliyopo katika service kwa sasa na kama zipo ni chache kwa sasa. Kumbuka Mr wakati wa kipindi chake alichukua Chengdu F-7.

Ni kweli hatukatai ni fighter ambazo ni generation za nyuma ila haina maana anga haliko salama. Kuna jirani ana SU-30 ila hazizidi 7 sasa sijui unazipangaje katika squadron, wing.

Sometimes haya mambo uendana na wale wanaokuzunguka wapoje nikiwa na maana silaha walizo nazo, uwezo wao wa kuweza kutumia hizo silaha na n.k nakumbuka kuna tukio lilitokea India kuna pilot wa kihindi nadhani jina ni Abhinandan akiwa tu Mig 21 aliweza kuipiga F-16 ya Pakistan ni fighter 2 zenye kizazi tofauti kabisa ila fighting iliamuliwa na ubora wa rubani.

ONLY THE STRONG SURVIVED..
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Bado wanafikiria vita vya kuchimba "MAANDAKI" wenzetu wanatumia state- of-the-art drone kuepusha vifo kwa askari wao... Sisi bado tunakimbizana na "MAFURUSHI"🙆🙆🙆😃😃😃😃😃😃
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

Hao ni special forces ndani ya jeshi, sio kila mwanajeshi anakuwa kwenye kikosi kama hicho...

Hivyo, hata majeshi hayo unayoyaita yameendelea yana wanajeshi kama hao na wanafunzwa kukabiliana na shurba nzito...

Google maneno haya "navy seal physical trainings" uone special forces wa nchi zilioendelea wnapiga tizi la namna gani...
 
Medani ya kubeba mizigo kama makuli bandarini,wenzenu wanawekeza kwenye silaha za kiteknolojia nyie bado mnabeba mizigo kama makuli wa mabibo sokoni,mkistaafu mnaanza kuumwa migongo.
Zingatia ushauri wangu, jikite kwenye maziwa. Ukitaka kufahamu usianze kwa lawama na dharau.
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Ujinga ni kuamini na kujua kuwa kinachofanywa ktk hayo maonyesho ndio ulinzi...
 
Sio kila sehemu utatumia Ndege!

Ndio maana kuna kamandi tofauti, anga majini nchi kavu nk

Kila Kamandi zina majukumu yake na zana zake za kimapigano
Achaneni na wapumbavu na wapondaji tu wajuaji wasio na ujuzi.
Hawajui Sayaret Matkal - israel comandos
Wala Navy seals

Aende akachet trainning zao aone vitu wanavyofanuya, hazo Jw hizo kilo 70 cha mtoto.

Et majeshi ya siku hiz hayafanyi vitu hivyo? Wap??!!!!

Msingi wa jesh kolote duniani ni ukakamavu!. Mengine yanafuata
 
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.

Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??

View attachment 2974562
Alooooooo
 
Back
Top Bottom