Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Laleni uchi mnasubiria nini?
 
Nini kimefichwa?

Sijaona awamu iliyo wazi na makubaliano na mikataba yake ya nje zaidi ya hii ya mama Samia.
Hata mimi sijawahi kuona awamu ambayo mikataba yake inagawa bure rasilimali zote za nchi kwa mikataba zaidi ya 30
 
Hata mimi sijawahi kuona awamu ambayo mikataba yake inagawa bure rasilimali zote za nchi kwa mikataba zaidi ya 30
Tuoneshe mmoja uliogawa mali, hatutaki porojo, tunataka utuoneshe huo mkataba.

Unao au una porojo tu?
 
Tuoneshe mmpoja uliogawa mali, hatutaki poorjo, tunataka utuoneshe huo mkataba.

Unao au una porojo tu?
Ndugu zako katika Imaan wanafaidika sana na raslimali za Tanganyika.Hivi uuzwaji wa Loliondo kwa UAE umekunufaisha nini wewe na waislamu wengine wa Tanzania?
 
Waarabu wanafanya biashara kama wawekezaji wengine hawaji kukuza dini yako.Angalia faida mnazozipata pale Loliondo.Kataa unyonyaji na ukoloni mamboleo.Pale Loliondo hata masheikh hawakanyagi kabisa ni full business.Amka!
 
Tuoneshe mmpoja uliogawa mali, hatutaki poorjo, tunataka utuoneshe huo mkataba.

Unao au una porojo tu?
Kukaa kimya, pale mtu anapoona atakalosema linaweza kutafsiriwa vibaya au vinginevyo, ni moja ya sifa kuu ya mwenye busara.
 
Ndugu zako katika Imaan wanafaidika sana na raslimali za Tanganyika.Hivi uuzwaji wa Loliondo kwa UAE umekunufaisha nini wewe na waislamu wengine wa Tanzania?
Hivi wewe hujanufaika? Kwenu wapi? Dah itakuwa mmesahauliwa sana.
 
Jiwe alituingiza chaka kumchagua mpiga deal🤔
 
Nimejitahidi kuangalia vizur kweny hio video labda ntaona hata MoU moja katiba hizo 30 ila hola.

Hao waliokwambia serikal imesaini MoU wambie wakupe tuzione. Kama IGA ilivuja why hizo Agreement nyingne.

Na watanzania walivyo wa ajabu ukisoma kweny comments unaona eti serikali haifanyi sawa, haifanyi sawa kwa taarifa za kufikirika.

SAMIA TUVUSHE TUVUSHE MAMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…