Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.

Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.

Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.

Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
kama ni kweli basi Wazanzibar wana nia ovu na nchi yetu
 
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.

Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.

Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.

Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.


Mpaka atokee MAGU mwingine ndio tutajua na vilivyo jificha! Kuna watu hawana aibu kabisa! Hivyo hiyo ya bandari ndio wamei select kuionyesha kwa wananchi kua ndio ina afadhali
 
View attachment 2744152
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.

Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.

Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.

Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
#) tu? Mbona umelala wewe. hizo za Dubai tu, bado hujasema za Oman. Kia si unaona management imeshaanza kufanya mambo yake pale, maduka bado?

Bado za Saudu Arabia.

Bado za Qatar.
Bado za Kuwait.

Za Algeria tayari umeziona?


Watu tunaongelea MoU kama 200 za nchi za Kiarabu, wewe uko wapi n hivyo vi 30 vyako?
 
#) tu? Mbona umelala wewe. hizo za Dubai tu, bado hujasema za Oman. Kia si unaona management imeshaanza kufanya mambo yake pale, maduka bado?

Bado za Saudu Arabia.

Bado za Qatar.
Bado za Kuwait.

Za Algeria tayari umeziona?


Watu tunaongelea MoU kama 200 za nchi za Kiarabu, wewe uko wapi n hivyo vi 30 vyako?
Watu wanajiuliza sababu ya kufichwa ni zipi
 
Back
Top Bottom