Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu awabariki sana Mkuu.
Kuna mmoja tulidumu Naye miaka miwili nilitamani sana kumpeleka akajiongeze kielimu. Nilipowasilisha hilo wazo kwa mwenzangu nilikubaliwa vizuri kabisa.
Haikupita miezi miwili Binti akaaga ghafla kurudi kwao.. Baada ya kama mwezi hivi nikakutana na Shangazi yake, ndiyo akanipa michapo kwamba Binti alishangaa ameanza kuchukiwa ghafla na "Dadake" mpaka akadiriki kumwambia anahisi kuna mahusiano Baina yetu, akajionea bora tu ajirudie makwao..
Mkuu usemayo ni Kweli kabisa hata kwangu haikuwa kazi rahisi, Kuna mda ilibidi nitumie uanaume wangu.Hongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa
ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona
kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
Yani anageuza dada wa kazi mke Tena mdogo, ama kweli dunia hii bado Kuna watu wemaHuu ndio ubinaadam sio wengne wanawanyandua watoto wadogo, wanawatoa mimba then wanawaacha wanahangaika.
Mke wako ni mchawi kwa hyo roho dada wa kazi naye ni binadamu kwanini umnyanyase hivoHongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa
ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona
kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
Wengine huenda kuroga, wengine vivuruge tuPia pongezi kwa wazazi wake walio mzaa na kumlea huyo binti, maana watoto wengine huenda kufanyakazi kimkakati [emoji23]
Kukuajiri wewe, walai tutaishia kuwekana mimba🍒😃😃Unataka uniajiri boss?
HahahaWale wabakaji wa ma house girl..
Kwa uzi, huu wana scroll up na kupotea.