Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Pongezi nyingi sana
Ukweli ukiwatendea hawa vyema umebarikiwa mno. Shuhuda wangu Nina kijana wa shamba nilichukua toka 2004 na sasa ni baba wa familia ambaye anajitegemea akiwa bado kwangu shamba nikiwa nimewawezesha mke fundi cherehani na yeye kulima wa mboga na kuuza maji ya bomba nilimuunganisha ili apate kipato. Kuwawezesha ununuzi wa shamba huko Bagamoyo. Wanajikusanya kujenga nyumba yao na ninaamini nitawasaidia. Kupitia kwake huko tumekuwa familia
 
Pongezi nyingi sana
Ukweli ukiwatendea hawa vyema umebarikiwa mno. Shuhuda wangu Nina kijana wa shamba nilichukua toka 2004 na sasa ni baba wa familia ambaye anajitegemea akiwa bado kwangu shamba nikiwa nimewawezesha mke fundi cherehani na yeye kulima wa mboga na kuuza maji ya bomba nilimuunganisha ili apate kipato. Kuwawezesha ununuzi wa shamba huko Bagamoyo. Wanajikusanya kujenga nyumba yao na ninaamini nitawasaidia. Kupitia kwake huko tumekuwa familia
Muda wote huo huyo ni ndugu kabisa, hongera sana! Kuna mtu unakaa naye mnakuwa vizuri kushinda hata ndugu yako wadamu, hongera sana
 
Hongera, kikubwa ni kuwa mkeo ana moyo mzuri.

Hongereni kwa hilo.
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Safi sana mkuu Mungu akubariki
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Angalikuwa rikiboy na timu yake ovu wangemtafuna kimasihara na kuleta mrejesho kwenye kambi yao chafu uzi wa wakubwa. Ningeweka hapa kieleelzo ila Sina connection
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Aiseee.... Hongera Sana mkuu. Wewe ni binadamu wa kipekee Sana na Nina uhakika toka ulipoanza kumhudumia na kumchukulia kma ndugu yako nachelea kusema hujawahi kukwama au kutatizika kikubwa katika uchumi wako. Wakati mwingine, mema tunayotenda kwa ajili ya wengine huwa mtaji wa neema, baraka na fadhila za Mwenyezi Mungu katika maisha yetu ya kila siku.

Tusikimbilie kupeleka mamilioni ya sadaka na zaka madhabauni Wakati Kuna ndugu zetu wanataabika na kupitia magumu Sana kwenye maisha.
Vitabu vyenyewe vinatuhimiza kuwa tutasemaje kuwa tunampenda Mungu tusie muona Wakati ndugu/rafiki/jaama zetu tunao waona hatuwajali.

Alamsik
 
Hongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa

ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona

kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
[emoji871] Mungu akufanyie wepesi mkuu, pole sana
 
Angalikuwa rikiboy na timu yake ovu wangemtafuna kimasihara na kuleta mrejesho kwenye kambi yao chafu uzi wa wakubwa. Ningeweka hapa kieleelzo ila Sina connection
Ule Uzi huwa siusomi Kati ya Uzi nisio u mind ni huo wallah.
 
Pongezi nyingi sana
Ukweli ukiwatendea hawa vyema umebarikiwa mno. Shuhuda wangu Nina kijana wa shamba nilichukua toka 2004 na sasa ni baba wa familia ambaye anajitegemea akiwa bado kwangu shamba nikiwa nimewawezesha mke fundi cherehani na yeye kulima wa mboga na kuuza maji ya bomba nilimuunganisha ili apate kipato. Kuwawezesha ununuzi wa shamba huko Bagamoyo. Wanajikusanya kujenga nyumba yao na ninaamini nitawasaidia. Kupitia kwake huko tumekuwa familia
Mkuu barikiwa na wewe pia
 
Hongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa

ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona

kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
Duu pole sana, unaongea mpaka kwa uchungu duu

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom