Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Kama umemaliza kaa kimya watu wengine wana wapa mengi kuzidi hayo hadi ya kitandani.
 
Hongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa

ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona

kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
umemuoa?? kuna mama mmoja naye nfugu yangu ni mkali balaa kwa house girls yaani karibu kila siku lazima awafokee.kuna house girl alikaa week moja tu akaomba kuondoka
 
Kwa hari hii uflume wa mbingu unakuhusu huko mbeleni
 
hakuna cha maana ulicho mfanyia kwasababu mwenye umekiri kuwa, "ulitumia mshahala wake ukaongeza kidogo"
 
Kuna mmoja ametuahidi kutuletea stori ya pili jinsi alivyo mgegeda binti wa kazi.
Aibu yake mwanaharamu.
 
Mungu awabariki sana Mkuu.

Kuna mmoja tulidumu Naye miaka miwili nilitamani sana kumpeleka akajiongeze kielimu. Nilipowasilisha hilo wazo kwa mwenzangu nilikubaliwa vizuri kabisa.

Haikupita miezi miwili Binti akaaga ghafla kurudi kwao.. Baada ya kama mwezi hivi nikakutana na Shangazi yake, ndiyo akanipa michapo kwamba Binti alishangaa ameanza kuchukiwa ghafla na "Dadake" mpaka akadiriki kumwambia anahisi kuna mahusiano Baina yetu, akajionea bora tu ajirudie makwao..
Ulimchukuliaje wife wako then??
 
Maamuzi mengine unatakiwa uyafanye wewe kama wewe, wewe kama kichwa cha familia.

Wanawake sio wa kuwaamini sana, maana wengi wao huwa hawatumii akili kufanya maamuzi.

Kama huyo wako, baada ya kumpa wazo kitu cha kwanza kilicho mjia akilini ni kwamba unamla huyo binti...

Badala ya kuwaza kuwa unamsaidia huyo msichana yeye kawaza "mapenzi/ngono".

Which is very stupid.
Mara nyingi wanawake hutumia hisia katika kufanya maamuzi yao. Tusiwalaumu kwa hili ingawaje
 
Hongera mkuu lakini nampa pongezi nyingi kwa mkeo ni mvumilivu na muelewa

ange kua mke wangu hakiamungu asinge weza kumruhusu kusoma kamwe angemuwekea vitimbi paka ashindwe Yule mama Ana roho mbaya sijapata kuona

kuna siku nilimnunua Dada wa kazi ndala mpya aka myanyanganya akmpa kuu, yani msichana akijitahidi sana anadumu miezi mitatu tu......yani Yule mwana mke nilisha mchoka sema tu ni mezaa nae sina jinsi
Pole mkuu kwa kupata mwanamke wa hovyo namna hiyo
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Hongera sana. Allah akulipe badala. Ni wachache sana watu wa aina yako!
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Nafurahi sana kuona watu wenye "roho kama yangu" Bado mpo, kiukweli, huwa naumia sana kuona mtoto wa ndani anateseka. Yamkini ni jinsi nilivyoteswa utotoni.
Mungu akubariki sana.
 
Haha kuna Dada juzijuzi aliandika kwenye Uzi kuhusu kampuni ya wafanyakazi wa ndani, katika changamoto ya kwanza kuiwaza ilikuwa hii.
 
Aghhh[emoji849]nlijua umemngegeda[emoji849]najuta hata kuusoma huu uzi mwanzo mwisho[emoji849]
 
Back
Top Bottom