Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Vyema sana. Mimi huwa na ideas za kusomesha wasichana wa kazi lkn sharti atimize mwaka mmoja kwanza kazini ndipo nimsomeshe. Bahati mbaya wote niliokaa nao hawatimizi mwaka. Kiukweli hii ahadi huwa siwapi bali huwa moyoni mwangu tu.

Kwa maoni yangu kama unapata wasaa wa kumsomesha mtu au kumpa mtaji, Ni vyema kufanya hivyo kwakuwa unakuwa umempa chakula cha kudumu kuliko kuendelea kumfanya ni mfanyakazi wako maana hapo unamjengea utegemezi wa kudumu.

Mkuu umefanya wema na bila ya shaka utalipwa wema maradufu
 
Mkuu kwanza ubarikiwe.
Hakika ni wachache wenye utu Kama wewe......watoto wako watazivuna baraka ulizozipanda kipindi chote Cha maisha yako.
Ubarikiwe na ubarikiwe Tena na tena.
 
Mungu awabariki sana Mkuu.

Kuna mmoja tulidumu Naye miaka miwili nilitamani sana kumpeleka akajiongeze kielimu. Nilipowasilisha hilo wazo kwa mwenzangu nilikubaliwa vizuri kabisa.

Haikupita miezi miwili Binti akaaga ghafla kurudi kwao.. Baada ya kama mwezi hivi nikakutana na Shangazi yake, ndiyo akanipa michapo kwamba Binti alishangaa ameanza kuchukiwa ghafla na "Dadake" mpaka akadiriki kumwambia anahisi kuna mahusiano Baina yetu, akajionea bora tu ajirudie makwao..
 
Mungu awabariki sana Mkuu.

Kuna mmoja tulidumu Naye miaka miwili nilitamani sana kumpeleka akajiongeze kielimu. Nilipowasilisha hilo wazo kwa mwenzangu nilikubaliwa vizuri kabisa.

Haikupita miezi miwili Binti akaaga ghafla kurudi kwao.. Baada ya kama mwezi hivi nikakutana na Shangazi yake, ndiyo akanipa michapo kwamba Binti alishangaa ameanza kuchukiwa ghafla na "Dadake" mpaka akadiriki kumwambia anahisi kuna mahusiano Baina yetu, akajionea bora tu ajirudie makwao..
Ila kuna wanawake Wana wivu mkali aisee!hongera zao wanaonesha kupenda💕🖐️🤸
 
Mungu awabariki sana Mkuu.

Kuna mmoja tulidumu Naye miaka miwili nilitamani sana kumpeleka akajiongeze kielimu. Nilipowasilisha hilo wazo kwa mwenzangu nilikubaliwa vizuri kabisa.

Haikupita miezi miwili Binti akaaga ghafla kurudi kwao.. Baada ya kama mwezi hivi nikakutana na Shangazi yake, ndiyo akanipa michapo kwamba Binti alishangaa ameanza kuchukiwa ghafla na "Dadake" mpaka akadiriki kumwambia anahisi kuna mahusiano Baina yetu, akajionea bora tu ajirudie makwao..
Wake zetu huwa ni wagumu sana kwenye suala linalohusu mfanyakazi, mara nyingi huhisi wanaibiwa nadhani ni vile wengi wa waume zao hujihusisha nao kingono.

Mimi niliwashirikisha kistaarabu sana na nilifanikiwa kubadili mtazamo waliokuwa wameujenga kwa kila kazi afanye yeye kisa analipwa kwa kazi hizo.

Na ikizingatiwa binti alikuwa bado mdogo na wife ndio alimtafuta, mwisho ilibidi tumsaidie afakie malengo yake maana alikuwa ni sawa na wadogo zetu waliokuwepo, alionesha heshima na hamu ya kuendelea kusoma na matatizo ya kiuchumi ya familia yake ndio yalimkwamisha.
 
Wake zetu huwa ni wagumu sana kwenye suala linalohusu mfanyakazi, mara nyingi huhisi wanaibiwa nadhani ni vile wengi wa waume zao hujihusisha nao kingono.

Mimi niliwashirikisha kistaarabu sana na nilifanikiwa kubadili mtazamo waliokuwa wameujenga kwa kila kazi afanye yeye kisa analipwa kwa kazi hizo.

Na ikizingatiwa binti alikuwa bado mdogo na wife ndio alimtafuta, mwisho ilibidi tumsaidie afakie malengo yake maana alikuwa ni sawa na wadogo zetu waliokuwepo, alionesha heshima na hamu ya kuendelea kusoma na matatizo ya kiuchumi ya familia yake ndio yalimkwamisha.
Mkuu yote hayo niliyafanya sana kumshauri hata kugawa majukumu baina ya 'Dada' na wengine tunaoishi nao (wadogo zake particularly) anakusikiliza unahisi ameelewa.. Ila hamna mabadiliko.

Kuna 'mshauri wake' siku niliwakuta wanajadiliana eti 'mdada' ukiwa mpole kwake atakuwa mvivu. Afu akiondoka wanaanza kulalamika kazi nyingi kumbe mnawanyanyasa!!
 
Mkuu yote hayo niliyafanya sana kumshauri hata kugawa majukumu baina ya 'Dada' na wengine tunaoishi nao (wadogo zake particularly) anakusikiliza unahisi ameelewa.. Ila hamna mabadiliko.

Kuna 'mshauri wake' siku niliwakuta wanajadiliana eti 'mdada' ukiwa mpole kwake atakuwa mvivu. Afu akiondoka wanaanza kulalamika kazi nyingi kumbe mnawanyanyasa!!
Mkuu, wake zetu ni changamoto sana ndugu yangu wakati mwingine
 
Back
Top Bottom