Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,804
- 3,113
Vyema sana. Mimi huwa na ideas za kusomesha wasichana wa kazi lkn sharti atimize mwaka mmoja kwanza kazini ndipo nimsomeshe. Bahati mbaya wote niliokaa nao hawatimizi mwaka. Kiukweli hii ahadi huwa siwapi bali huwa moyoni mwangu tu.
Kwa maoni yangu kama unapata wasaa wa kumsomesha mtu au kumpa mtaji, Ni vyema kufanya hivyo kwakuwa unakuwa umempa chakula cha kudumu kuliko kuendelea kumfanya ni mfanyakazi wako maana hapo unamjengea utegemezi wa kudumu.
Mkuu umefanya wema na bila ya shaka utalipwa wema maradufu
Kwa maoni yangu kama unapata wasaa wa kumsomesha mtu au kumpa mtaji, Ni vyema kufanya hivyo kwakuwa unakuwa umempa chakula cha kudumu kuliko kuendelea kumfanya ni mfanyakazi wako maana hapo unamjengea utegemezi wa kudumu.
Mkuu umefanya wema na bila ya shaka utalipwa wema maradufu