Umefungua redio ya dini na unavunja sheria kwa kutoisajili Serikalini kupitia TCRA...kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia Serikali mapato yake. Umaana wa hiyo injili haupo. Ulifaa kuwa mfano uisajili kisha uendelee na uinjilishaji. I don't support your initiative kama unavunja sheria.
Naomba kuwa mmoja wa watangazaji wako ilinijifunze.ila hongera piaHabari wanaJF, naamini ni wazima
Nimefanikiwa kufungua online radio ambayo ni tzgospel japo sina studio wala sijafanikiwa kusajili lakini kituo kimekuwa na wasikilizaji wengi wanaosikiliza lakini nashindwa kutangaza maana sijafanikiwa kupata vifaa kama laptop mic mixer ndogo nk
Maana pesa najichanga ili niweze kusajili TCRA lakini kwa wakati huu naanza naomba kama kuna mtu atakuwa na laptop ndogo tu anisaidie, hata mic ndogo tu kusudi niendelee kutumia katika kueneza injili
Radio inapata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati mmoja na wasikilizaji hadi elfu 40,000 kwa siku kwa mwezi ni zaidi ya milion 1.
lakini pia tunajiunga taarifa ya habari kupitia tbc taifa taarifa ya habari saa 1 asubuhi 7 mchana na 2usiku online radio pekee ambayo inafanya ivo
View attachment 2263104
unaweza kunishauri 0757560345
Hiv TBC huwa inabamba mpaka uk!?kuliko tbc?
yani laptop ipo moja inauwezo mdogo sana na katika ubunifu nilio fanya ni huo wakujiunga na tbc mwanzo nilikua najiunga na hadi na dw swahili na pia nimewahi jiunga na upendo radio semina ya mwakasegeMbona una jiunga na taarifa za habari za TBC?
zina jicheza zenyewe ata kujiunga na tbc inajiunga yenyeweHongera nime sikiliza iko vizuri. Jaribu kutafuta wadau muwekeze pamoja utafika mbali. Naamini kwa platform uliyo nayo una uwezo wa kupata wadau wengi.
Ila naomba kuuliza bila ya laptop hizo nyimbo na jingles una cheza vipi?
Ukikua tafua IT constantzina jicheza zenyewe ata kujiunga na tbc inajiunga yenyewe
Hongera sana kaka wazo lako libarikiwe sana,hapo katika kurusha matangazo jaribu kuongea na hao watumishi wenye kuendesha ibada zao,kama vile mwamposa,ama yule wa kimara anayejiita kuhani musa anza nao kuongea uwe uawarushia vipindi vyao unaweza ukaanza kwa kurusha ibada zao kwa gharama ndogo uwe unawachaji kwa mwezi tofauti na media nyingine mdogomdogo vifaa vingine vitapatikana tuyani laptop ipo moja inauwezo mdogo sana na katika ubunifu nilio fanya ni huo wakujiunga na tbc mwanzo nilikua najiunga na hadi na dw swahili na pia nimewahi jiunga na upendo radio semina ya mwakasege
asante sana kwa ushauri wako nitafatikia ili ili niweze kupataa vifaa maana natamani isikike zaidi na online na mipango ipo sema uwezeshaji tuHongera sana kaka wazo lako libarikiwe sana,hapo katika kurusha matangazo jaribu kuongea na hao watumishi wenye kuendesha ibada zao,kama vile mwamposa,ama yule wa kimara anayejiita kuhani musa anza nao kuongea uwe uawarushia vipindi vyao unaweza ukaanza kwa kurusha ibada zao kwa gharama ndogo uwe unawachaji kwa mwezi tofauti na media nyingine mdogomdogo vifaa vingine vitapatikana tu