Nimefanikiwa kupata kazi FBI, wameniomba dola 100 kwa ajili ya badge

Nimefanikiwa kupata kazi FBI, wameniomba dola 100 kwa ajili ya badge

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.

Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.

Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.

Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.

Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
 
Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
Dah hiyo bangi sijui ya moshi au arusha
 
Utapigwa na kitu kizito kisogoni.

FBI hawaajiri watu ambao sio raia wa Marekani.
 
Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
Mtu anaweza kuja mbiooo.....kumbe utani.
 
Msaga sumu ko singeLi unaacha unaenda kushika mtutu ulaya 🤣🤣🤣🤣
 
Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
Watumie masela Magomeni wakale Double Kick
 
Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
😂😂😂 pole mkuu
 
Hiyo FBI itakuwa ya buza ... sikia sifa moja ya kuwa FBI .. lazma uwe raia wa USA ... pili hakuna mtu toka Africa akawa FBI from no where
 
Back
Top Bottom