MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Dah hiyo bangi sijui ya moshi au arushaKiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
Mtu anaweza kuja mbiooo.....kumbe utani.Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
Watumie masela Magomeni wakale Double KickKiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.
πππ pole mkuuKiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania, anilitee badge yangu ya kazi.
Nitakuwa analyst hapo New York tukisolve kesi ngumu ngumu na genious wenzangu wa Kimarekani.
Kila heri wadau tutawasiliana nikianza kazi.