Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka screenshot tuonetimu moja daily weka double chance weka million hukosi 250k mpaka 300k per day, ..ndo kitu nafanya siku hizi najifungia ni mwendo wa kumtafuna muhindi mpaka mtaani washaanza kuni-doubt nasukuma sembe aka ERIC MANDALA ,.... nasisitiza usivuke zaidi ya timu moja utakuja nilaum.
Mbon kina Salaah na GSM wametoboa na pesa hizo hizo za urithi kaka 😂😂namna hii hutoboi pesa za uridhi tunaona shuuda nyingi sana mitaani hawajawahi toboa huo ndio ukweli ndugu wala nisikufiche
hawakuuza mali walizoachiwa kisha kugawana pesa sijui kama unanielewa nduguMbon kina Salaah na GSM wametoboa na pesa hizo hizo za urithi kaka 😂😂
Kwa hiii biashara mwaka Jana bro wangu hime mfilisi kwa nilicho experience kwenye hiii biashara Kam hanataka kufanya basi 1/ntafuta fundi mnzuliFungua Duka la Vifaa vya pkpk, usiwe na Tamaa ya kutaka Faida kubwa, pia Oil Tafuta Faida ndogo utapata wateja Wengi. Na wanaokuja kumwaga oil Buku iwe ya Fundi usichukie Wala kigawana hilo Buku na fundi utapata wateja Wengi sana
Marejesho ni ile income yako ya UTT , wewe kazi yako itakuwa kupambana na biashara tuMkuu hii ungefunguka zaidi, akishapata mkopo marejesho ataanza lini, coz kwa biashara mpya kuanza direct na mkopo, atakua kwenye pressure kubwa sana
Wanaokataa mdogo wangu ubinafsi hauko mbali...Ndugu zetu wa asili ya Asia wanawezaje hili?Hapo kwenye neno "mdogo wangu" ndipo lilipo anguko lako