Uchaguzi 2020 Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu

Kawashawishi na mabeberu wenu wa ubeligiji
Bunda Mjini mvua inanyesha lakini wananchi wamekubali wanyeshewe wakiwa wanamsubiri Tundu Lissu.
2020-09-26_15-54-13 - gif.gif
 

Attachments

  • 2020-09-26_15-52-17 - live.mp4
    6.7 MB
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Ccm na vyama vya upinzani tuungane kuondoka huyu mtu.
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.

NIPATIE NUMBER ZAO, NA NIPE DAKIKA 3 KWA KILA MMOJA, NINAKUHAKIKISHIA WOTE WATAMPIGIA KURA MAGUFULI
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Umefanya kazi nzuri sana. Mungu akubariki
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Kila mmoja wetu afanye hivi ni jambo jema sana.
 
Binafisi kwenye Group letu la Telegram nimefanikiwa kuwashawishi member wote zaidi ya 600.
kuhusu ndugu zangu na jamaa wanaonizunguka wao kula ni kwa Lisu.
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Mtu anayejitapa kuipigia kura Ccm should never reach out for help pale mambo yakimuendea kombo
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.

basi sawa
1601133949672.png
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Mie nilishamalizana na famili,mabroo wote na masista ninao sasahivi ni vijiwe ninavyokunywa yaani nawaonesha video za lissu akipiga spana,nina uhakika kwa juhudi zangu binafsi sitakosa kumpatia lissu kura hata mia tano,dhidi ya nduli
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Hongera kwa kuwaingiza MKENGE!
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura.

Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na biashara nzuri tu kipindi cha mkwere akajenga na kajumba na kufanya mambo kadhaa yeye mwenyewe ila wakati huu biashara hakuna na huwa anaomba nimpige tafu kwenye ada ya mwanae mmoja yeye nimemwambia unaona tofauti ya awamu iliyopo na ile ya mwanzo kasema ndio mwanangu nakusikiliza wewe.

Nikarudi kwa mama wakwe zangu wawili huwa wananipiga vizinga mara kwa mara na wao nimewaambia msipopiga kura kwa Tundu tusijuane wameelewa nao.

Mama yangu yeye hana noma kabisa nataka kumalizia kwa wadogo zangu wawili na baba nimalize kazi kwa upande wa ndugu.

Lengo la kuleta huu uzi ni kuwapa moyo vijana wenzangu tuwashawishi wanaotuzunguka na ccm waache kutubeza kwamba tunashinda mitandaoni huku sisi sio wapiga kura na hatuna ushawishi huko vijijini.

Ombi: naomba mniunge mkono wakuu kwa pamoja tutaweza kuangusha CCM.
Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
Eti hazina na funguo za hazina Tanzania nzima zipo kwa mtoto wa dadake pombe eti zabuni za ujjenzi anapewa mke mwenza wa Pombe
We can't breathe
 
Mie nilishamalizana na famili,mabroo wote na masista ninao sasahivi ni vijiwe ninavyokunywa yaani nawaonesha video za lissu akipiga spana,nina uhakika kwa juhudi zangu binafsi sitakosa kumpatia lissu kura hata mia tano,dhidi ya nduli
Kazi nzuri mkuu, tupambane kuwaangusha hawa ccm.
 
Salaam,

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu.
Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura...

Alisikika mlevi mmoja aliyekiwa amevalia tshirt ya kijani na kofia ya njano...Miaka mitano iliyopita nilikuwa kama niko kwenye shimo lenye hewa ndogo halafu limejaa nyoka.. tarehe 28.10 ndiyo natoka humo, sirudi tena humo shimoni. 'I cant breath'
 
Back
Top Bottom