Nimefanikiwa kuukwepa mzinga wa JWTZ muda huu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Nilichofurahia wewe ni muwazi na umemchana vile unataka bila kupepesa .
Sio hawa wajinga wengine , kuna kamoja kila siku kanamuahidi dada kumnunulia gari wakati mimi nakajua hata baiskeli hakana , walimu Mungu anawaona .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ushamba yaani 15k unaleta uzi ungeombwa mtaji ungesingizia hela nyingi mzee jitafute sana 15k sio hela ni uchafu na huna mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…