Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Uwe una ongea una eleweka😀, sija wahi tumia 15k ni uharibifu tu.Aiseeeh!😅 unatafuta mzozano tu.
Una buy airtime na data bila kuweka pesa?iwe direct or indirect.
Au mazoea yangu tofauti.
🤣
Mule mule mkubwa, mi sivukagi hapo.Hahahahaha...vocha nimekupa sana ya buku 2
Tuache masihara.heee angekuomba mtaji ungempa?
Kwa hiko kiasi Unalonga na mchumba kwa muda gani ?Uwe una ongea una eleweka😀, sija wahi tumia 15k ni uharibifu tu.
👉Labda buku 2 tu, ndio Ina nitosha.
Hahahahahaha..asiporidhika kwani mna mkataba wa kupeana vocha ?Mule mule mkubwa, mi sivukagi hapo.
,Asipo ridhika aka ombe mbingu,
Hiyo hela Ina nipa masaa 8 na do 40 non stop.Kwa hiko kiasi Unalonga na mchumba kwa muda gani ?
Lakini unahonga zaidi ya 15,000?.🤣
Hahaha, hatuna.. ila mwingine ata kuambia haitoshiHahahahahaha..asiporidhika kwani mna mkataba wa kupeana vocha ?
You mean 8 hrs za kuongea? Una raha sana.Hiyo hela Ina nipa masaa 8 na do 40 non stop.
👉😝Kuhusu kuhonga 15 k, my Utakuwa ume lewa wee😀😂
Kwa 2k tu, halafu Raha gani 🤔You mean 8 hrs za kuongea? Una raha sana.
Dah mkuu umeshindikana kwa majibuOna nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu 😆.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Raha ya kupata masaa 8 kwa pesa kidogo.Kwa 2k tu, halafu Raha gani 🤔
Namkumbusha asi tuone malofa😀Dah mkuu umeshindikana kwa majibu
Lia Sasa😀Raha ya kupata masaa 8 kwa pesa kidogo.
Usijali boss la maboss.Nkuchune basi kitimoto 1kg leo na pepsi
Kweli kabisa,nitamwaga chozi maana sina pesa hata ya airtime,hapa nashukuru majirani.Lia Sasa😀
Mtandao gani una tumia??Kweli kabisa,nitamwaga chozi maana sina pesa hata ya airtime,hapa nashukuru majirani.
Kirefu cha BF ni?....BF akiwa mjini dk 1000 naaa zinaishaga
😁😁
Hahahah! Ili iweje kijana?Mtandao gani una tumia??
Jibu swali, shida una kiherehere Kama kikohozi Cha mvuta sigara😀Hahahah! Ili iweje kijana?