Nimefanikiwa kuukwepa mzinga wa JWTZ muda huu

Hahahahahahaha..kuna mdada aliomba heka ya lunch nikamrushie 15K akasema haitoshi ...toka siku hy nika mblock na futa na namba yenyewe
Sasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁
 
Sasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁
Hahahahaha...kwa hadhi yake hiyo ilikua inamtosha sana na vocha anapata ...hana hadhi ya huko usemako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…