Nimefanikiwa kuwauzia kanisa na msikiti eneo moja

Mkuu, home kwetu kuna bar, na fence yake imepakana na fence ya msikiti. Sasa sijui unaongelea amshaamsha zipi? Au mwenzetu uko Saudi Arabia?

Hii ni nchi huru asee!
Labda msikiti wa Chama Cha siasa
 
Labda msikiti wa Chama Cha siasa
Hayo utajua wewe, mimi ninachojua ni kwamba hii ni nchi huru, na inaendeshwa kwa sheria zake ambazo sio sheria za dini yoyote!

Kila mmoja ashinde mechi zake!
 
Arusha ipo kanisa katoliko moyo Safi lipo karibu kbs mita 10 na kanisa la kkkt
 
When
Where
How
What for
ONE WORLD RELIGION[ CHRISLAM]

Mufti Mkuu Rahmi Yaran Akisoma Dua Huku Papa Wa Kanisa Katoliki Duniani Akiitikia Ndani Ya Msikiti Nchini Uturuki, Papa Francins Nchini Uturuki Kwa Ziara Maalum, Papa Alikwenda Ktk Msikiti Wa Kale Uitwao Sultan Ahmet Mosque {Blue Mosque} Mjini Instanbul, Na Hapo Aliambatana Na Mufti Wa Instanbul Rahmi Yarani Kutembea Ndani Ya Msikiti Huo Na Baadae Mufti Huyo Kuomba Dua Huku Woote Wakiitikia Dua Hiyo Akiwemo Papa FRANCIS.

DINI ZINAZIDI KUUNGANA NA KUUNDA DINI MOJA YA ULIMWENGU





 
... upande mmoja ukiamua kufuga mifugo yake kama mradi hasa upande wa mpaka walipopeana migongo ndipo huwa mzuri kujenga mabanda sababu unapata advantage ya ukuta na unajua mifugo ile ikisikia njaa ambavyo huwa inapiga kelele na huku upande mwingingine wanakuwa wanasali zile sala zao za kila baada ya masaa fulani hjoni kama italeta lugha gongana?
 
Umefanya vizuri. Mungu wetu ni mmoja watakuwa wanatembeleana
 
Kuna mmoja lazima abadilishe matumizi ya Hilo eneo.
 
Umefanya vyema maana hata majuma kadhaa nyuma watumishi hawa walicheza mechi ya kirafiki na ili kuonesha uungwana wale mabwana waliofungwa....{pamoja na kubugizwa mabao ya kutosha} walipewa kombe wakasherehekee kwenye masinagogi yao.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Vituko vya Karne hivi...
 
Sehemu kibao tu hizo nyumba zipo jirani.
 
Maeneo ya kuabudia kama kanisa na misikiti hupimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi kwa matumizi hayo! Hivyo acha kutudanganya.Labda kanisa la matuŕbai na vitu viwili au msikiti wa mtu mmoja!
Wewe hujui..!! Embu niambie msikiti ulioko Tangazo Mtwara vijijini nani alipima eneo lake.?? Na Kanisa lililoko Mbimbi kule Namtumbo nani alipima eneo lake..!?? Haya, tuseme huko ni mbali, msikiti wa Zomboko kule Mbagala karibu na kwa Juma nature, nani amepima? Umeongea kinadharia sana kuliko uhalisia
 
We kweli una nia mbaya. Tangu lini Kaswida na Mapambio yakaenda kwa biti moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…