Ben na hicho kigugumizi chako utachangia hoja gani bungeni? we endelea kutumwa tumwa chips mayai na Mbowe hapo Ufipa
Hatuto vumilia wasalito- CHADEMA KWANZA.
Kweli nimeamini inabidi kuweka akiba ya maneno, wako wapi wale.?
Mkuu Ben Saanane, kwanza naunga mkono hoja, pili nakukubali kwa ujasiri sio tuu wa kutangaza nia bali pia kutangaza vita na aliyepo!. Nakupongeza kwa dhati kwa vile hakuna jimbo ambalo ni mali ya mtu, wala hakuna mbunge yoyote aliyepo mwenye hati miliki ya jimbo lolote hivyo ni haki yako kutangaza nia na kugombea jimbo lolote!."Naelekea Bungeni"
Ndugu marafiki zangu wa karibu na wa mbali, Baada ya kupitia taarifa ya kamati za kiutafiti iliyokamilisha kazi yake jana kutoka jimboni. Naam, naelekea bungeni.
Nimeamua kwa uhakika kabisa kujitosa kwenye kinyang'anyiro
Hapa Mkuu Ben Saanane haya ni majisifu ya egotistically driven by egotistic desires from egotisim!. Hapa huna tofauti na ZZK!, kutanguliza umimi!. Unaonekana wewe tayari umeisha determine lazime uwe, sasa ikitokea ukakatwa, unaweza kabisa kuamua kuwa kwa vile umeisha determine, ikishindikana kugombea kupiti Chadema, then utagombea kupitia njia nyingine yoyote!. Hii ni hatari!. Nilishauri ili mtu uwe kiongozi bora sio wewe kujiona una sifa, una uwezo na unaweza, bali tekeleza tuu majukumu yako kama kiongozi kwa kuonyesha uwezo, kisha watu waliokuzunguka, wauone huo uwezo wako, wao ndio waje kukushauri kuwa kija unaweza!, njoo huku utusaidie kwenye nafasi hii ya uongozi!. Hii haina maana ukijiona unaweza usijitokeze bali usijisifu kuhusu uwezo, onyesha huo uwezo usifiwe, ushauriwe gombea, ndipo utangaze nia!.cha kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu 2015 kupitia chama changu – Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kwanza, nimesukumwa na maono, uwezo na umahiri wa kiuongozi, pamoja na dhamira ya dhati ya kuwa kiongozi wa watu, niliye tayari kutumia kila fursa, mikakati na mbinu zote za kiuongozi kuboresha maendeleo ya wananchi. Nawiwa kuwa mwakilishi tofauti wa wananchi, nitakaye tengeneza tofauti yenye tija kwenye maisha yao, nikitumia weledi na karama zangu za kiuongozi
Hii pia ni muendelezo wa ile ile strong determination yako kwenda bungeni, ningeomba pia utupe na options zako iwapo Chadema haitakupitisha kugombea jimbo hilo ambalo tayari ni ngome ya Chadema, jee uko tayari kugombea jimbo jingine lolote ambalo sio ngome mathalan ka Kinondoni?!, au umepania lazima ugombee hapo hapo ulipoamua, na kama Chadema haitakupitisha unaweza ku jump ship na kulitwaa jimbo hilo?!.tangazo langu hili la "Naelekea Bungeni" linazingatia ukweli kuwa mpaka sasa nimeshafanya kazi kubwa iliyozaa matunda ya kuimarika kwa mtandao wa chama changu katika jimbo ninalokusudia kugombea na kuchangia kwa kiasi kikubwa chama changu kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita kama kilivyofanya vizuri pia maeneo mengi nchini. Naomba tuendelee kuidumisha nguvu hii kubwa ya uungwaji mkono kuelekea kura za maoni na hatimaye nitaunda timu ya kampeni kabambe kuelekea Bungeni Oktoba 2015.
Najua bado sijatii kiu yenu maana sijaweka wazi jimbo ninalokusudia kugombea!. Naomba tuvute subira katika hilo. Nimeshaamua kwa uhakika, ni jimbo gani nagombea! Baada ya kutimiza masharti yote yaliyobaki ya kikanuni,kiitifaki na kikatiba, ndani ya kipindi kisicho kirefu nitawatangazia wananchi wa jimbo husika na mikakati yangu katika nyanja zote muhimu nanyi mtasikia, na hatimaye kuomba ridhaa ya chama changu kuipeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 2015.Kwa sasa, itoshe kwenu ninyi kujua ya kuwa Naelekea Bungeni.
Natambua safari hii sio nyepesi,ni safari yenye miiba na mabonde, lakini naweza kusema jambo moja tu, kwamba safari hii ni ya uhakika na nimejipanga sawasawa. Na ninaaamini kupitia ninyi marafiki zangu safari hii itakua nyepesi nay a uhakika zaidi.
Nawaomba kwa moyo mkunjufu na kwa unyenyekevu mkubwa Mnisindikize Bungeni;Mwenyezi Mungu atangulie mbele ya safari yetu .
Twende Bungeni na Ben Saanane!
Kk ben,kwanza ongera kwa uamuzi wako mzr,pili ongera kwa kukaa kimya kuto jibu ile thread ya kipuuzi,binafsi sina chama ila nakukubali sana,na pia kwa moyo wote umepongezwa na kk ritz pia kwa moyo wake wote bila kujali tofauti zenu za kichama,hii inaonesha ni jinsi gani unathaminiwa kwa michango yko na mategemeo mengi toka kwako,lkn pia nikwambia kitu ndani ya chama chochote lazima kuwe na makundi hasimu,laxima uwe na marafiki na maadui pia coz hata mungu anao maadui sembuse binadamu sisi?.Hayo makundi yasikurudishe nyuma,lkn pia ndani ya ma pro cdm,nadhani umewaona wanafiki zako kupitia ile thread ya kipuuzi,watu kama akina shardcole ni watu mhm sana kwako,hawakuvunjika moyo,lkn pia wale wengne ma pro cdm wenzako waliokuponda,usiwahukumu wote kwa mabaya wanakupenda,wanajua umhm wako na walikuwa wanaumizwa na kuhama kwako so wakakosa uvumilive kama shardcole hawakuwa na njia nyingne zaidi ya kukulalua ili kukilinda chama chao,ni ndg zako hao. Lkn pia nakuhakikishia ukijitambua na kuwa na hoja presentation siyo kz ni uzoefu tu na baadaye utakuwa vzr so usiogope wanaosema ben wa jf hawezi jukwaani,mda ukifika ntakupa support yang ya mali,binafsi wewe na pasco humu jf nawakubali sana.
hii singo haiuzi . iliyouza ni ile ya kuhama. bora ungehama tu. every one predicted this. so it is not news at all. and on top.of that. hivi ni lazima kila mtu anayetaka kuonesha mchango wake kwa taifa awe mbunge?? we all know it ia not about that. its about. money . power and fame. unaweza jenga nchi hata ukiwa nje ya bunge.
Wewe utaendelea kuwa Mbunge wa jamiiforum. Mitandao mingine huwezi kutoa hoja zaidi ya mtandao wenu wa JF kwa wananchi ndiyo utaweza kweli?
Leo nimefurahi sana yaani natamani ungekuwa karibu yangu
_Eti ben aende chama la wasaliti kwa kweli ningeshangaa sana Ben Mungu muweza utashinda baba mimi zangu sala tu!!!
huyu jamaa atakuwa Albert MsandoDuh maajabu post hii haijataja bavicha, maana huu ugonjwa wa bavicha unakutesa sana!
Inawezekana wakati mwingine kuwa na mgongano kati ya Mbunge na wataalam hasa DED kuhusu namna ya matumizi ya fedha za CDCF hasa pale wanapokuwa na mitizamo tofauti lakini msingi wake unabaki pale pale kuwa ni fedha zaserikali na matumizi yake (yaani vipaumbele vya matumizi ya fedha za CDCF) hupangwa/huletwa na Kamati ya Mfuko wa Jimbo Wilayani ambapo Mbunge ni mjumbe wa kamati hiyo. Mwenyekiti wake ni Diwani mmojawapo kati ya madiwani ambao ni wajumbe wa Mfuko. Kamati ile inaundwa na Madiwani 2, DED, Afisa Miapngo (ambaye ndiye katibu wa kamati), watendaji kata 2 na wawakilishi 2 wa asasi za kiraia.Tsafurd ,
Ni kweli CAG hukagua.
Kuna malalamiko juu ya baadhi ya wabunge ku-collude na DED na kuelekeza matumizi ya fedha kwa mrengo wa upendeleo
Mswada wa sheria hii mwaka 2009 ulipingwa na wanaharakati na mabalozi.Tuangalie namna ya kufanya marekebisho.Kuna mfumo mzuri kwa baadhi ya nchi kama Mauritius