Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Ulivyotangaza Utatoa Maamuzi Magumu Ijumaa, Uviccm, Walipiga Kweli Longolongo, Oo Anakwenda Cc B, Wengine Wakasema Itakuwa Kweli Mbona Hakanushi, Nikawambia Sio Kila Kichaa Ni Wa Kumjibu, Mimi Ninavyomfaham Beni Hawezi Kujiua Kisias Kilahis Hivyo, Yani Afe Huku Anajiona Hawezi, Ameona Wakina Shonza, Mwampamba, Shitambala, Wakipotea Kabisa, Huyu Hawezi, Nashukulu Umenisitili, Na Umeonyesha Sikukupigia Upatu Bule, Pokea Saluti Yangu, Unakwenda Bungeni.
 
Ndo maana watu wako tayari kufia CCM. kwa mawazo yako na utaifa ulionao ungesha pewa UKUU WA WILAYA kwani tunashuhudia zinahongwa tu. MAANA SHIDA YAKO WEWE NI HELA ZA FASTA FASTA TU. HUKU CDM UBUNGE MNAENDA PIGANA JUJU TU.

BTW HILO JIMBO UNALOENDA ,,WAMEKWAMBIA WENYE NALO WAMELICHOKA.

DAHHH. KILA LAKHERI BANA BILA SHAKA UKOO WAKO UMEIAFIKI HATARI HII KUBWAA MBELE YAKO.
Tuache siasa za kipuuzi, kwani UKAWA wanavyotangaza kuitaka nchi kwani ccm wameichoka.

Acha Demokrasia ifanye kazi, kama kushindwa akashindwe kwenye vikao vya maamuzi, kama tutasubiria mpaka ayachoke madaraka ndio tutangaze kuyahitaji huo utakua utawala wa kifalme na hatutakua na uthubutu wa kuipinga ccm.
 
Ben nakufahamu japo hunifahamu!

Anza kujifunza kutawala jukwaa kama akina Godbless Lema
 
Vp chama kinaruhusu makundi maalumu kuja kukuchangia hela ya fomu watu tuanze maandamano?? Au muda bado???
 
Selasini ni mbunge makini sana wanarombo wanampenda ben aendelee na kazi yake ya kubeba sumu
 
Ben ni mtu anayeitajika sana bungeni kwa kijana anayependa hamsha hamsha. Kama nilivyosema jana chadema iangalie namna ya kumpa nafasi huyu mchizi
Huyu jamaa hata akilikosa jimbo viti maalumu lazima vimhusu, ana vitu vya ziada ambavyo ataviongeza kule bungeni.
 
Kaka Ben Saanane Naamini upo katika njia sahihi nami nakuunga mkono kaka. Taifa linahitaji vijana wanamapinduzi kama wewe. 1428755713769.jpg
 
Last edited by a moderator:
Swali langu kuu Ben, Mzee Serasini ni Senior ndani ya Jimbo lako...Je natumaini mtacompromise nae kwa faida ya wanarombo? Wazee wetu hawa wa enzi ya Mwalimu wakati mwingine uwa na misimamo fulani hivi rigid [Stubborn] na kusimamia wanavyoamini wao kwa namna ambayo walivyojengwa na mfumo wa kipindi chao....ni wakati huu sasa chama chenu makao makuu kuandaa nafasi za watu ambao ni SENIOR na Muhimu kwenye mambo ya Chama chenu kupata nafasi za kutumikia Chama chenu lakini wakiwa backbench.

Tunaitaji vijana wengi mjengoni, wenye mawazo mapya, mawazo mbadala, changamoto za usasa. Wakati mzee wa enzi zile Bungeni wanakimbia na hawapendi marumbano ya hoja, kijana wa sasa suluhu kwa stahiki ya pande mbili ikishindikana kwa njia ya kucompromise basi hata kwa marumbano ya hoja kisha wananchi wanaamua kupitia marumbano ya hoja zao.

Vijana wa zamani, wazee wa leo marumbano kwao ni uchuro, wehu, ni utovu wa nidhamu kubishana bungeni, wakati bunge la Uingereza ambako wao walikopi mfumo wa serikali na demokrasia wao leo hii wana boooooo...bungeni.Dunia imechange kumeingia siasa za ukinzania [Opposite] yani kwenda kwa hoja tofauti na hoja ya mwingine na hoja zikishindana ni hoja hipi bora zaidi ya nyingine.Sasa kama kizazi kile cha wazee wetu bado kiko kwenye ndio mzee, yes sir, wakimuona mzungu wanatetemeka, hawawezi kubishana na mzungu ikibidi kufoka kama kama kakosea ili kumuonyesha hisia za kimaumbile kuwa Umekasirika kwa tendo lake hilo lililopelekea wewe kufoka.

Wazee wetu umefika nyakati sasa wakae nyuma, wawe mafuta ya vilainishi pale vijana wanapoonekana kwenda kwa speed kubwa basi watoe ishara kuwa hapa mwendo ni 50/Per HR na Pale ni 80/Per HR.

Nasubilia kuona vijana wa CCM, wakianza kuwapumzisha wazee wao....ili safu ya vijana pande mbili UKAWA vs CCM wakabukue vifungu ili miswada na hoja makini ndio zipate kibali kwa faida ya umma wa Watanzania.TUMECHOKA NA WANAOSEMA NDIO WASEMA NDIOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO WANAOSEMA SIO WASEME SIOO.

WANAOSEMA NDIOOOOOOOOO... WAMESHINDANA.......YANI KIPINDI HICHO UWA NASIKIA UCHUNGU MPAKA BASI.

Well said Commander! Natumaini ushauri mtia nia atauzingatia, lakini ni muhimu kila mwanachama atambue kwamba mwaka huu ni mwaka wa ukomavu wa kidemokrasia ndani ya chama, ni mwaka ambapo tutashuhudia vijana wengi wakijitokeza kugombea nafasi ndani ya chama mfano jimbo la Mvomero ambalo CHADEMA serkali za mitaa imeshinda kwa zaidi ya 70%, watia nia wapo zaidi ya 30 na katika hao watia nia karbia 98% ni vijana na wenye uwezo wa kutosha hivyo naamini demokrasia itachukua nafasi yake.

Chama chetu jambo hili kinaleweza, mfano kwenye uchaguzi mdogo wa igunga Tabora 2011 walikuwa watia nia 15 lakini aliyeshinda na kupitishwa na chama alikuwa ni mtu tu wa kawaida mwalimu wa shule ya msingi Mr.Joseph Kashindye na jambo hili lilitupa moyo sana wanachama.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Umetundea haki na kwa dua,sara,mshikamano na imani tuliyonayo juu yako tutakupeleka bungeni kwa kura za mafuriko. Salute kwako kamanda!
 
Maelezo mengi lakini hakuna la maana hata moja hapo. Imekushinda BAVICHA, jimbo utaliwezea wapi wewe?

Wewe una la maana lipi zaidi ya kusifu na kutetea mafisadi na majangili mitandaoni?
 
Back
Top Bottom