Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa
Umenikumbusha mmoja ivi maana nafanya nao kazi hao watu aseee acha tu, nilimuacha baada ya kusema nimuoe na mm nimeamua kua single faza, tangu apo siwataki tena ila ukweli ni kwamba manesi wanafanya vzr kuanzia usafi na wengi ni wazuri sana km uyu ninae mzungumzia ni shida.
 
Umenikumbusha mmoja ivi maana nafanya nao kazi hao watu aseee acha tu, nilimuacha baada ya kusema nimuoe na mm nimeamua kua single faza, tangu apo siwataki tena ila ukweli ni kwamba manesi wanafanya vzr kuanzia usafi na wengi ni wazuri sana km uyu ninae mzungumzia ni shida.
Asante kwa ushuhuda.
 
Ndiyo tunapima mwanzo wa mahusiano mkuu na kuahidiana kila mmoja wetu kumlinda mwenzie, vipi nyie?
Mimi hapana, nilipooa tu na kipindi cha kiliniki. Nina zaidi ya miaka mitatu sasa...kila nikikohoa naogopa..[emoji1787]kidding!
 
Nyie ndiyo mnaziharibu Familia nchi hatimaye na Dunia....

mwanamke ameolewa....Bado unamkimbiza mikoani... and funny enough you are bragging as if .....is a heroic thing.....Brothers lets have self control....

Haujengi lolote kuanzia kwako na kwajamii....Mmewe akijua...tayari umevunja Ndoa sehemu ambayo watoto wangekuwa na kuwa wanajamii wazur kesho.....Unawafunza nini vijana waliopo hapa...kwamba nao waanze wakuige....!
 
Nyie ndiyo mnaziharibu Familia nchi hatimaye na Dunia....

mwanamke ameolewa....Bado unamkimbiza mikoani... and funny enough you are bragging as if .....is a heroic thing.....Brothers lets have self control....

Haujengi lolote kuanzia kwako na kwajamii....Mmewe akijua...tayari umevunja Ndoa sehemu ambayo watoto wangekuwa na kuwa wanajamii wazur kesho.
Hujawahi kuchepuka?
 
Back
Top Bottom