political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
hii chai ilitakiwa iwepo kwenye zile 23% walizoongezewa wafanyakazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kunguruNa leo inaenda kupiga kinanda
Wewe unachokiona kigumu ni kipi hapo? Muumini mpya au mchumba wa mtu kuliwa?hii chai ilitakiwa iwepo kwenye zile 23% walizoongezewa wafanyakazi
Huyu atakuwa ni mwanachama wa CHAPUTA, hawa hawa madem zao ni mkono na sabuni😂😂😂Wewe unachokiona kigumu ni kipi hapo? Muumini mpya au mchumba wa mtu kuliwa?
Sana yaani mi Mwenyewe kuna mke wa mtu namla hapaduh, yaani wanaofunga ndoa huwa wanachorwa na wengi sana aisee
Mapema yuko zake galilaya uko saivi..alirogwa saaafiAkafa?
😂😂😂Mapema yuko zake galilaya uko saivi..alirogwa saaafi
Ameweka sehemu aliyokutana nayeBadilisha hiyo heading bana, hukumla kanisani.
😂😂😂Hatari sana mpiga kinanda mwenzangu, siku moja ntawaletea visa vya wadada wa sauti yakwanza na yapili.Mpiga kinanda mwenzangu, aiseeh tutafika huko tunakoenda tukiwa tumechoka sana[emoji23][emoji23][emoji23] ila tuna siri kali sana huko parokiani!
Amehama, nikienda mkoa wake lazima tutest mitambo.Umeenda kuungama dhambi yako ya uzinzi?
Nakushauri achana naye mara moja otherwise utashikwa tyakko very soonest!