Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa
Dah na unaona proud kabisa kuhadithi umefanya uzinzi ukianzia kwenye nyumba ya Mungu..na bado unaenda kumuimbia Mungu?

NB:Ndo maana Mungu wanafki hua anawaadhibu adhabu kali sana..mnafki ni kiumbe hatari
 
Dah na unaona proud kabisa kuhadithi umefanya uzinzi ukianzia kwenye nyumba ya Mungu..na bado unaenda kumuimbia Mungu?

NB:Ndo maana Mungu wanafki hua anawaadhibu adhabu kali sana..mnafki ni kiumbe hatari
🙄🙄🙄
 
Mmmmmh,Dunia Pana sana bwashee,yaani wote tujifunze kucheza kinanda!!Ili tupate mizigo?!!
Dunia mbona ina mambo Mengi tu ya kufsnya Ili kula mizigo,hapa kitaa Kuna mpika chipsi,anakula madem hatari!
Kuna vijana wenye maduka ya nguo na vipodozi vya kike,Kuna vijana wasusi,Kuna wenye ndinga zao,za milioni 200+!!
Harafu wewe unatushauri tujifunze "kucheza kinanda"!!!!
Yote ya nini hayo,mi nakula mama mchungaji,Binti zake,na wifi zake,na wote Hawa juani!!!?
 

Siku mumewe akija kugundua na akifanya chochote juu ya mpiga kinanda na huyo mkewe,watu wataanza kulaumu na kusema yeye angemuacha tu bila kudhuru,bila kujua amedhihakiwa mara ngapi na mpiga kinanda pamoja na huyo muumini na watu wangapi wanajua na kumuona mumewe ni mjinga na mpumbavu,hali kadhalika mume alivyokua anaangaliwa siku ya kufunga ndoa,halafu mjinga anakuja anasema UNGEMUACHA tu,wapo wengi.Ukute hata nyumba yenyewe jamaa kampangia,halafu dume jingine linaendq kulala,aisee,acheni kuchagulia watu adhabu,wachepukaji hawalaumugi yakiwakuta yakiwakuta.​

 
Na siku ukienda kuungama ueleze hivyo-hivyo (Ndipo utasamehewa) !!!
 
Nyie ndiyo mnaziharibu Familia nchi hatimaye na Dunia....

mwanamke ameolewa....Bado unamkimbiza mikoani... and funny enough you are bragging as if .....is a heroic thing.....Brothers lets have self control....

Haujengi lolote kuanzia kwako na kwajamii....Mmewe akijua...tayari umevunja Ndoa sehemu ambayo watoto wangekuwa na kuwa wanajamii wazur kesho.....Unawafunza nini vijana waliopo hapa...kwamba nao waanze wakuige....!
Mkuu usiwe mkali kama kiranja! Wapuuzi kama hawa unawaacha tu, nature will Tek care of them
 
Back
Top Bottom