Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄🙄Dah na unaona proud kabisa kuhadithi umefanya uzinzi ukianzia kwenye nyumba ya Mungu..na bado unaenda kumuimbia Mungu?
NB:Ndo maana Mungu wanafki hua anawaadhibu adhabu kali sana..mnafki ni kiumbe hatari
We msabato wewe 😂Kanisa lenu limejaa uzinzi ndio maana kwenye kitabu Cha Ufunuo wa Yohana limeitwa MAMA MKUU WA MAKAHABA
Hahahaa, pambana na mazoezi
Uki master tu utaanza kung'oa mademu balaa.Haina noma nakibal
Hii imenikumbusha Enzi nasoma Bado niko Kijana Mbichi.... Imenikumbusha baadhi ya marafiki tuliokuwa tunaitana majina ya kutoka Kitabu hicho.Prophet Moses Akaba
Mkuu usiwe mkali kama kiranja! Wapuuzi kama hawa unawaacha tu, nature will Tek care of themNyie ndiyo mnaziharibu Familia nchi hatimaye na Dunia....
mwanamke ameolewa....Bado unamkimbiza mikoani... and funny enough you are bragging as if .....is a heroic thing.....Brothers lets have self control....
Haujengi lolote kuanzia kwako na kwajamii....Mmewe akijua...tayari umevunja Ndoa sehemu ambayo watoto wangekuwa na kuwa wanajamii wazur kesho.....Unawafunza nini vijana waliopo hapa...kwamba nao waanze wakuige....!
Karibu sana mkuuNahitaji financial services kutoka kwako🤗🤗🤗
Amebadilisha, aliandika kama alimlia kanisani vile wakati walikulana huko nyumbani kwake , tena jamaa ndiyo aliliwa maana alimfata kwakeAmeweka sehemu aliyokutana naye
Yaani chanzo cha yote
[emoji23][emoji23][emoji23]Ata mbuzi Na ng’ombe wanatomban*. Sijaona cha maana katika uzi huu
Hamna mwanamke ndio analiwaAmebadilisha, aliandika kama alimlia kanisani vile wakati walikulana huko nyumbani kwake , tena jamaa ndiyo aliliwa maana alimfata kwake