andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Kwa mke wa mtu! Wewe ni mme mtu?Hujawahi kuchepuka?
Kazi ipo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mke wa mtu! Wewe ni mme mtu?Hujawahi kuchepuka?
Huwezi elewa haya mambo, kapambane na madufu.CHAI YA MOTO
Safari ya kumla ilianzia kanisani.Badilisha hiyo heading bana, hukumla kanisani.
vipi huwa mna wasiliiana mara kwa mara....Safari ya kumla ilianzia kanisani.
Tunawasiliana vizuri mpaka leo.vipi huwa mna wasiliiana mara kwa mara....
au ni mpaka ukiwa unaenda mkoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umeongea kiutumishiWe sio mtumishi, we ni muhuni aliejificha kanisani
Nahitaji financial services kutoka kwako🤗🤗🤗😂😂😂 poa Doctor, how's your weekend ?
😂😂😂😂ila kula wake za watu raha sana ila ukija kujua kuwa na wewe wako analiwa inauma sana.
kuna jamaa ana mpenda mke wake balaa na ni wale watu wana weka imani kwa mke wake asilimia zote. siko niko zangu nae lodge jamaa anapiga amefika home mida ya saa 7, anamuulizia mke wake dhaaaaa anajibiwa kirahisi sana kuwa sipo nimetoka niko kwa best yake amekuja kumtembelea atarudi mida ya saa 12, kumbwe mwamba niko tu na pigwa BJ kiroho safi.
nikamuuliza KE akasema jamaa yake hana shida wala ni mpole.
Ni mtamu asikwambie mtuUlikutana na kahaba kama makahaba wengine
Akafa?Iko siku yako...hujakutana na wahuni..mwenzio alifukiwa chini kwa ujinga kama wako wa kula wake za watu
Bora huyo anayepambana na dufu kuliko wewe unayenajisi kanisa kwa uasherati wako.Huwezi elewa haya mambo, kapambane na madufu.
Nenda kwa Gwajima yeye halagi kondooNdio maana niliacha kwenda kanisani,wanao jiita Watumishi wa Mungu wenyewe ndo kama hawa.