Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Unaona kama una houseboy ukamuachia mkeo alale nae ww uwende kwa housegirl wako
 
Hari kama hii unategemea mini!
 

Attachments

  • 1423196627781.jpg
    85.8 KB · Views: 566
mfukuze kwani anamkataba wa kazi si umtengenezee kashfa umfukuze ungekua umepiga shemeji hapo sawa lkn house girl FUKUZA....
 
As my comment above the family value will go down significantly and im not ready to be the witness of my own downfall
 
Wewe si umefunga ndoa juzi tu??fungate hukutosheka na mkeo yule mnene???
 
mfukuze kwani anamkataba wa kazi si umtengenezee kashfa umfukuze ungekua umepiga shemeji hapo sawa lkn house girl FUKUZA....

ukipiga shem inakuwaje tupe uzoefu, maana hili .......................................
 
Wanasema mchagua jembe si mkulima... Kijana safi sana kwa kutimiza haja za mjakazi wako kama anavyowatimizia haja za familia yako.

Mdada wa kazi akitumwa mnataka arudi kwa wakati, asiwe na mazoea na vjana wa jiran, yaan masharti lukuki. Sasa unadhan yy si bnadam!? Yy hahitaji huduma ya mwili!?

Kaka ww piga ila mpe conditions na ajue her place in ur mind na heart.

#kondom ihusu lakn
 

We mkali! Ntaifanyia kazi hii!
 
mfukuze kwani anamkataba wa kazi si umtengenezee kashfa umfukuze ungekua umepiga shemeji hapo sawa lkn house girl FUKUZA....

Kakosea nin mpaka amfukuze? Hg anachotaka ni dozi kubwa kama anayopewa bi mkubwa,sio kuonjeshwa tu!
 
ndugu yangu watu humu wa siku hizi watungaji kweli tena wanajiona fahari kumbe ndo
wanajimalza huku hawajijui kabisa

sasa kutana na sumu ya mawe sijui ndo anvyojiita ni mtungaji balaa
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.
 
Namshukuru MUNGU kwa kuniepushia tabia ya mbaya ya kumtamani house girl. Ahsante MUNGU
 

Nile namba ya mkeo nimwambie ili picha liishe..
 
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.
Kwa hii Bongo yetu haya mambo yapo sana tu wala sio ajabu....ni matokeo ya kutumia abdala kichwa wazi kufanya maamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…