Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Mwambie awe anakuletea msosi kazini uwe unamchapa nao
 
mbona kauli yako kama kijana flani hivi sio baba mwenye nyumba??

harafu ulivyokuwa Sakara unakuja kujitamba kwa upuuzi wako ulio ufanya .
kweli ww bado mtoto maana mambo hayo wanayo watoto ambao ndio wanabarehe zinawasumbua. akifanya mapenzi na mtu lazima akajigambe nakuwasimulia wenzake kijiweni
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!

Mmmmhhh zero brain....
 
Nimempenda bure huyo house girl,atakutibu!!
 
Tyta nahisi uwepo wako hapa ni muhimu
 
Last edited by a moderator:
....Lazima umtafutie zengwe ili umtimue kazi au itakula kwenye ndoa yako.....Chezeya utamu weye!!! Haki sawa kwa wote.
 
we like to create our own problems.. Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom