Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nenda kaombewe utakuwa na pepo. Jamani housegirl wako? Hata kinyaa huna? Utakuwa mgonjwa
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!

Sio mzima wewe m..at.ak..o yako
 
mahausigeli ni watamu mno,ukionja huachi,ndo maana mi hukaa mbali nao ili nisiharibu
 
wanashinda jikoni so nyepu ina joto la kutosha af mnato,wakati wife anashinda ofisini kwny AC full ubaridi hadi nyepuni
 
badili hilo jina haliendani na tabia yako blessings
 
Last edited by a moderator:
huyo mchomoe faster maana kwenye ukimwi kuna Arv kwenye mimba kuna nini?
 
Mhhh! Huko co kuchepuka, nadhani ni foleni.... Coz its too close.... Honi zinasikika!!!!!
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!

ila ndo ujue na watoto wako(kama unao) anaowaangalia watapata shida maana ni watoto wa mke mwenzake utajuta siku akiwapa sumu ukimnyima hiyo unayoita haki yake
 
Jiandae..kitakachofuata sasa ni kukufuata chumbani night kali ukiwa na wife.......
 
Back
Top Bottom