Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!

"Blessings!"
 
Wonders shall never end oooooh

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kanuni kuu ya kutafuta mchepuko! Awe na sifa zinzomzidi mkeo, ss ww unatafuta mchepuko wa hadhi ya chini tena! Daah kweli umemdhalilisha mkeo! Tafuta kitu wife mwnyw siku akikukamata nae ananyoosha mikono!
 
tatizo sana hili jamani! Hasa vibinti vinavyokuja kufanya kazi vikiwa bado havijawahi kunaniliu, halafu kulingana na maisha huko alikotoka anakuja akionekana hana mvuto; unamtunza vizuri, anakula wanachokula wanao, ukiwafanyia shopping wanao na yeye unamtupiamo, analala ktk chandarua, anatazama tv, yenye king'amuzi, n.k.

Ananona, anapendeza na kuzipata zile nyama-nyama alizowajaza Allah, yataka moyo. Dawa ukiona anaanza kupendeza mshauri mama yoyoo mumtimue kabla mtumishi hujaanguka
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!

Alisikia vipi wakati unampa dozi mkeo?! Nyumba yenu haina ceiling?!
 
Alisikia vipi wakati unampa dozi mkeo?! Nyumba yenu haina ceiling?!

Teheeee mkuu kuna wengine hata ceiling haisaidii, anapiga kelele kama kaumwa na nyoka. Chezea shughuli wewe lol ngoma zingine nzito. Mtoa mada hapa sizumzii wewe na mai waifu...
 
Teheeee mkuu kuna wengine hata ceiling haisaidii, anapiga kelele kama kaumwa na nyoka. Chezea shughuli wewe lol ngoma zingine nzito. Mtoa mada hapa sizumzii wewe na mai waifu...

Hahahaaa. Mkuu lakini kelele zingine wizi tu..!
 
Back
Top Bottom