SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
https://www.jamiiforums.com/mahusia...1119-jf-imenipatia-mke-mwema.html#post9413998
we mkeo si yuko jf, huogopi?
watu wanapenda kutoa stori za uwongo ili kuchezea akili za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...1119-jf-imenipatia-mke-mwema.html#post9413998
we mkeo si yuko jf, huogopi?
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!
Nenda kaombewe utakuwa na pepo. Jamani housegirl wako? Hata kinyaa huna? Utakuwa mgonjwa
Nimeona comment hii tu best!
Sasa unahitaji msaada upi?
Haha haaaa!!ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!
hlf besti ipo siku hayo macho yako yatakuja kupofuka kwa kuona visivyopaswa kuonwa peke yake..........
mzima wewe lakini?
Haha haaaa!!
Niombee tu best yasipofuke....
Mie mzima kabisa best.
ha ha ha ha ha
uzima wako wanipa furaha tele miye......
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!
Alisikia vipi wakati unampa dozi mkeo?! Nyumba yenu haina ceiling?!
Teheeee mkuu kuna wengine hata ceiling haisaidii, anapiga kelele kama kaumwa na nyoka. Chezea shughuli wewe lol ngoma zingine nzito. Mtoa mada hapa sizumzii wewe na mai waifu...