Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
mshahara wa dhambi ni mauti,bali karama ya mungu ni uzima wa milele!
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
ushamuomba mungu msamaa
 
Bado kesho atampangia Wife na Zamu ya Kupikaaa,,Akiuliza tu Why,,kanajibu mi tayari Ni mke Mdogo ,,Unakuta kimenukaaa
 
Aisee ilibid nimtimue pale home, maana ilishaanza kuwa kero. ila nimempangia chumba maeneo ya Kawe nikitoka job napitia huko napiga vitu, kati ya bao 1 mpaka 3, kisha naoga nakula cha jioni ndo najongea home taratiibu kama hakuna kilichotokea! Love you beibi!!

Yaani hii ndo kitu ulitakiwa ufanye tangia mwanzo...tiGo umekula lakini? kama bado ntakuona boya kichizi
 
3e2d37327a37c0882bc4968b2f166952.jpg
 
Sasa kinakushinda kitu gani kuwapa haki sawa, ikiwa wote wanaishi kwako?
 
Dah yani utaharibu ndoa sasa hivi na kumtia mkeo bonge la aibu ndugu. Si ungetafuta nje aise yani ndani kabisa. Tunalalamika kugongewa ila hii ni mbaya zaidi. Maana huyo housegirl ataanza kumdharau mkeo ujue.
 
Back
Top Bottom