Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
43Wewe una miaka mingapi?
Tuanzie hapo kwanza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
43Wewe una miaka mingapi?
Tuanzie hapo kwanza...
Huwezi kuwa na huo umri na usielewe wanayoyapitia wahusika.
Mjuba mmoja anaweza kugegeda wadada zaidi ya Mia na kisha anasepa bila kuwaoa, hapo rate ya single mother lazima ipae juu dadekiNdio maana rate ya single mothers ipo juu sana.
So ushamkumbuka ex wako uliyempendaga sana ?[emoji3]Mi saivi ndo anajua that kumbe alitumia nguvu,but kibishi tunasonga maana aliniheshimisha.
Afu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazeeDah kwahilo tu hio situation lazma iko rough now! Mie ndio maana nataka nipendwe kama nilivyo now sihitaji slayqueen on my lane nitaoa wifematirio wa kawaida [emoji28]
Kweli kabisaaaaaNa hao ukiwaumiza probability ya kukuloga ni 89%.
No,najihisi mpweke tu simkumbuki MTU...maana huwanikiumizwa hata uwe na game tamu kias gani Mi huwa nakumbuka maumivu tuSo ushamkumbuka ex wako uliyempendaga sana ?[emoji3]
Mdada hapo juu yupi? Wewe mkorofiAfu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazee
Mpende jamaa bhn usimuumize for sureNo,najihisi mpweke tu simkumbuki MTU...maana huwanikiumizwa hata uwe na game tamu kias gani Mi huwa nakumbuka maumivu tu
Utafiti au uchunguziNimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Ni kweli asanteMpende jamaa bhn usimuumize for sure
Yeah demu akiolewa anakuwa katua mzigo wa lawama tu kwenye jamii, so whatever she decides after marriage anaona ni fairAfu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazee
Mtoto hana hiyana na muhuni anajua mie ni kachero mbobezi 🤓🤓🤓 sema safi tu
Pambania kombe mkuu afu mtoto ashasema ni mchapa kazi na wewe unaliaga kupata wife matirio 😅😅Mtoto hana hiyana na muhuni anajua mie ni kachero mbobezi 🤓🤓🤓 sema safi tu
Huyu mtoto walahi anakuelewa mno sema hujui mkuu she is a teacher you know how they are capable of expressing.🤟🤟😂😂 Ukitia neno naye yupo nyuma daaah ubini huu jombaaMtoto hana hiyana na muhuni anajua mie ni kachero mbobezi 🤓🤓🤓 sema safi tu