Nimefanya Utafiti wangu huu Binafsi Je, nipo sahihi nao au niendelee Kuufanya zaidi?

Nimefanya Utafiti wangu huu Binafsi Je, nipo sahihi nao au niendelee Kuufanya zaidi?

Dah kwahilo tu hio situation lazma iko rough now! Mie ndio maana nataka nipendwe kama nilivyo now sihitaji slayqueen on my lane nitaoa wifematirio wa kawaida [emoji28]
Afu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazee
 
Afu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazee
Mdada hapo juu yupi? Wewe mkorofi
 
Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.

Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?

Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Utafiti au uchunguzi
 
Naomba nikuongezee pia kuwa, si kipato pekee bali hata MUONEKANO (MAVAZI)
 
Zamani tulikuwa na utaratibu mzuri asilimia kubwa wazazi ndio waliokuwa wanawachagulia mabinti wachumba japo ilikuwa inaonekana kama jambo la kulazimishana lakini kwa kiasi kikubwa ilisaidia mabinti wengi kuolewa.Pia walifunzwa kuheshimu kila mtu
 
Afu ndoa kwa mademu wengi ni kutoa gundu nowadayz kama huyo dada hapo juu, akishaingia ndani she has nothing to lose, kuwa makini wazee
Yeah demu akiolewa anakuwa katua mzigo wa lawama tu kwenye jamii, so whatever she decides after marriage anaona ni fair
 
Mtoto hana hiyana na muhuni anajua mie ni kachero mbobezi 🤓🤓🤓 sema safi tu
Huyu mtoto walahi anakuelewa mno sema hujui mkuu she is a teacher you know how they are capable of expressing.🤟🤟😂😂 Ukitia neno naye yupo nyuma daaah ubini huu jombaa
 
Back
Top Bottom