Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Kwelii kwelii jamaa,
Niwaaaalimu, (sio) sio wengine
(wale) Waleeetao elimu nchini Tanzania...

Walimu tunawapenda na kuwaheshimu..
 
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopita.
Najua hapa kwenye kutapika sup umeongezea tu kukolezea comment yako..ila ni kweli kwa mtu ambae hajui kuwa kulikuwa na tukio gani, angemsikiliza yule mc( chawa mkubwa) angejua ni mkutano wa kampeni anamnadi mgombea
 
Walilalamika kwako?[emoji848][emoji848]
 
Wewe km haupo ktk ajira za serikali huwezi kujua kwa nini hao Walimu wanapiga makofi kwa kishindo. Jua tu kuwa ukiwa mfanyakazi wa umma ni sawa na mke alieolewa. Yani huna sauti na utaongozwa kadri ya matakwa ya anaekulisha. Huna uhuru binafsi wa kutosha. Hata ukitaka kutoka sehemu Yako ya kazi kwenda kwenu lazima uombe ruhusa na nauli anaekupa ugali na kumuuaga pia. Hapo vipi umeolewa au hujaolewa. 😃😃😃😃😃😃Ngoja nisiendelee, mwenye kujua atakuwa amejua.
 
Nimesikitika umechelewa kujua kuwa Walimu ( hasa wa Shule za Msingi ) wa Tanzania ndiyo Kubwa la Watu wanaoongoza kwa Upumbavu na Unafiki nchini.
 
Ma MCs nao wanakosea wanatakiwa wakanywe. Haiwezekani sherehe za wafanyakazi wao wanapiga kampeni za 2025. Kugeuza sherehe za wafanyakazi kuwa sehemu ya vijembe na kampeni ni kiashiria Cha namna gani Watanzania walio wengi ni weupe kichwani na wanaishi kwa kujipendekeza. Mbaya sn hii. Tatizo hata TUCTA wanaimba wimbo mmoja na hao washereheshaji (MCs). Very sympathetic.
 
Hayo ni maoni ya waalimu.we inakuuma nn?mpitishe na ww mgombea wako. We kwa akili zako matope unahisi Samia akiamua kugombea 2025 utamshinda?kaa kwa kutulia sukuma gang nyie.zama zenu ziliisha.
 
Mpwayungu kaacha wapumbavu wengi humu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…