Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Waache wampigie debe kwani 2025 imeshafika? Je utakuwepo au unajuwa nani atakuwa Rais 2025 jamani embu tupambane na mambo mengine.
 
Kutuita walimu ni MABUMUNDA daa umetukosea sana.hii sio sawa kwa niaba yao hatujalipenda jina hilo tafuta tafuta jina jingine basi.
 
MIMI NILIFAULU KWA AKILI ZANGU MWALIMU HAJACHANGIA CCHTE
Huo nao ni sehemu ya ujinga ulio nao , hizo akili ulizo nazo kama ndio hizi basi we kweli ulifahuhulu kwa akili zako yaani ni sawa na aliye sema mama ungechelewa ningekuzaa!

Kwamba ulijikuta tu wewe mwenyewe unajua hii ni 'a' na hii ni 'baba' au sio!
 
dhiki waalimu wametatuliwa kero zao nyingi
 
Mpwayungu Village ni shujaa bado
 
Yaani Waalimu na Chama Chao Wamegeuka Machawa. Eti unasifia kupewa Kishikwambi anachochezea Mjukuu Wangu wa Miaka 3. Wangepewa Desktop nazani wangesema wasilipwe Mishahara Kwa Mwaka mzima. Wanashindwa kuja na hoja ya Kupinga Kikokotoo watacholipwa wanapostaafu. Wanashukuru Vishikwambi😝😝🙆🙆🙆 wasubiri ni Pensheni ya Milion 38 huku wana Madeni ndio Wataona Raha ya kuwa Chawa na kumiliki Kishikwambi.
 
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopit

Siyo Kwa Uchawa ule WA CWT wa Leo. Kama vile Wote Wanamiliki Vila na kuendesha Maprado. Yaani Mwalimu anaishi Kwa support Mishahara Kwa kuuzia Wanafunzi BG eti wanasikia Tablet.
 
Pole sana.

Hiyo ajira yako ya ualimu siyo kama umefunga ndoa katoliki.

Acha ualimu ujiajiri.
 
Kuna kipindi liliibuka vuguvugu enzi za JK kutaka kila ngazi ya elimu walimu wake wawe na chama chao.

Walimu wenye vyeti ambao ndiyo wengi walikuwa very reluctant kudai maslahi kupitia migomo.

Wakitishiwa kufukuzwa tu wanatia mikia mapajani.
 
Walimu nawapongeza sana.Leo wamependeza sana mbele ya Mhe.Rais...
CWT kama mpo humu mwaka huu mmetisha sana Kwa Tisheti zenu za Leo....Hakika Mei Mosi 2023 ,CWT mmetisha na mtabaki kuwa kileleni.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…