Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Mmekazana na Walimu utadhani hii nchi kada nyingine zote zinajua kudai. Hivi juzi CAG ameibua ufisadi mkubwa uliofanywa na 'wakubwa' ndani ya Police Tanzania juu ya fedha za maafa wanazochangia mapoti, umeona kuna pot kasimamia kucha jambo hilo? Ingekuwa hizi hela ni za Walimu msingewatukana Walimu kweli?

By the way, kada nyingi tu hapa nchini mambo hayako OK. Hata kule jeshini kuna unyanyasaji wa maslahi, sema nidhamu ya kijeshi inawafanya wajeda wa-mute tu kisabuni, ila hayo hamuyaongelei.

Vipi Vyama vya Siasa vilivyonyimwa haki enzi za JPM vilifanya nini? Na wewe unaweza kufanya nini? au ndo kujitia ushujaa usionao? Umewahi kuingia barabarani lini kudai haki yako?
suala sio kuchukia hii kada,ila kama nilvyoainisha hapo juu,neno wito lilifanya kada ya ualimu na walimu kuonekanika si chochote,imedogoshwa miaka na miaka,na ile hal ya kuwa ukpata ufaulu kiduchu unaenda ualimu ndio kabsa imedharaulsha kada hii
 
Naamini kuna kazi unayo fanya na inaakuingizia kipato chako halali hata sisi pia tunafanya kazi hii ya ualimu na tunalipwa hiki kiasi unacho kiita kidogo, pamoja na udogo wa kiasi hiki tunaendesha maisha vizuri tuna familia zinatutegemea, tunasomesha watoto na tunasaidia ndugu zetu .
Kama Mungu amekujalia kupata kazi inayo lipa fedha nyingi kudhihaki na kudhalau kazi ya mwenzio itakufanya uonekane kama mtu asiye kua na hekima
Mara nyingi nimeshuhudia watu wanao wadhalau walimu wengi wao huwa hawana hata kazi ya kufanya na wengine wamethubutu hata kuwatapeli walimu hasa wadada wanao hitaji ndoa
Please tuache na shughuli yetu inayo tuingizia kipato halali fanya kazi yako inayo kuingizia mabilioni sisi tunaridhika na hii fedha ambayo wewe unaita kidogo
 
Vyama vya wafanyakazi utavipata nchi zingine lakini hapa Tanzania hamna vyama vya wafanyakazi.

Hivi vikundi vinaongozwa na makada wa ccm pamoja na wengine wa usalama wa taifa, sasa hapo kweli utasema kuna vyama vya wafanyakazi.

Kwa hiyo hayo yanayofanyika hayafanyiki kwa bahati mbaya bali yamekuwa preplanned.

Ccm imeshindwa kuwashawishi wananchi kwa matendo na sasa wamebakia ni propaganda tu. Bure kabisa.
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Wamekuwa wakifanya hivyo tangu 2015 hadi 2021 hukulalamika. Kulikoni sasa?! Mbona wakati huo tulikuwa tunawaita wazalendo?! Kuunga juhudi ikawa wimbo.
 
WAMEJAZANA UWANJANI MASKINI HALAFU MC HATA HASOMI MABANGO YAO ANAJIROPOKEA YA KICHWANI MWAKE.

WALIMU NI WAJINGA AISEE
Ujinga wao ndio ulio fundishwa wewe hadi ukaweza kuwaona wajinga leo
 
Naamini kuna kazi unayo fanya na inaakuingizia kipato chako halali hata sisi pia tunafanya kazi hii ya ualimu na tunalipwa hiki kiasi unacho kiita kidogo, pamoja na udogo wa kiasi hiki tunaendesha maisha vizuri tuna familia zinatutegemea, tunasomesha watoto na tunasaidia ndugu zetu .
Kama Mungu amekujalia kupata kazi inayo lipa fedha nyingi kudhihaki na kudhalau kazi ya mwenzio itakufanya uonekane kama mtu asiye kua na hekima
Mara nyingi nimeshuhudia watu wanao wadhalau walimu wengi wao huwa hawana hata kazi ya kufanya na wengine wamethubutu hata kuwatapeli walimu hasa wadada wanao hitaji ndoa
Please tuache na shughuli yetu inayo tuingizia kipato halali fanya kazi yako inayo kuingizia mabilioni sisi tunaridhika na hii fedha ambayo wewe unaita kidogo
Umeongea kwa uchungua sana mwalimu. Naamini huyu mtoto wa mama akisoma hiki ulichokiandika, kuna kitu atajifunza! Kama ana akili timamu lakini.
 
Naamini kuna kazi unayo fanya na inaakuingizia kipato chako halali hata sisi pia tunafanya kazi hii ya ualimu na tunalipwa hiki kiasi unacho kiita kidogo, pamoja na udogo wa kiasi hiki tunaendesha maisha vizuri tuna familia zinatutegemea, tunasomesha watoto na tunasaidia ndugu zetu .
Kama Mungu amekujalia kupata kazi inayo lipa fedha nyingi kudhihaki na kudhalau kazi ya mwenzio itakufanya uonekane kama mtu asiye kua na hekima
Mara nyingi nimeshuhudia watu wanao wadhalau walimu wengi wao huwa hawana hata kazi ya kufanya na wengine wamethubutu hata kuwatapeli walimu hasa wadada wanao hitaji ndoa
Please tuache na shughuli yetu inayo tuingizia kipato halali fanya kazi yako inayo kuingizia mabilioni sisi tunaridhika na hii fedha ambayo wewe unaita kidogo
Acha kujitoa fahamu. Mnaishi kwa madeni na dhiki. Mnakunywa gongo na pombe kali alafu unaongea pumba.
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Samia hafai!
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Sasa unadhani wewe ukiwa rais ndo mishahara itatosha.
 
Back
Top Bottom