Nimefika Newala salama

Hiyo guest inaitwa mponda ipo kule ukipita ofisi ya elimu hiyo wazinifu huwa wanaenda kupiga show
Sawa...yeye ndio anaita lodge..hiyo ukiwa matembezini mchana huku nyuma akipatikana mteja anaingia.
 
Kwani wewe ulitegemea ufike maiti au? Mbona unashangaza au ulijua ujinga mnaolishwa na kudanganyana hapo Dar ya Mafuriko ndio uko Kila sehemu hapa Tanzania?
 
Safi mkuu maisha ni kitabu

Taarfa za msiba wa mwalimu zilikuja tukiwa tumeshaondoka newala

Newala ina watu wazuri sana hakuna kudharauliana wala mnaugomvi yasiyo na mbele wala nyuma

Mwaka huo msiba wa mwalimu niko darasa la 3 ilala primary school iringa.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Safi mkuu maisha ni kitabu

Nashukuru nilipata nafasi ya kuizunguka hii nchi nikiwa kijana

Ulikuwa upande wa usalama au serikali?
Nilikua pale Mtwara 97 tukikabidhi bandari kwa Bakili Muluzi.
Newala tulikatiza tu.
 
Mkuu nilikuwa kilwa kikazi nimerudi lindi kesho Kutwa nakuja mtwara
 
Mkuu nilikuwa kilwa kikazi nimerudi lindi kesho Kutwa nakuja mtwara
Poa poa kaka aisee ujenikuelekeze totoz napata wapi kaka au nipe hata email yako hapa nikuchek nikupe simu. .

Nikitoka huku naenda Masasi then Nachingwea then liwale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…