Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kaka nakuja pmKaribu Newala ndugu,,wenyeji tupo hapa,,,leo ulienda Newala Pazuri..kesho elekea Big brother...baa Moja matata sana na bata mzinga kama wote....husisahau kuondoka na korosho Original kutoka hapa Newala....zilizookwa ambazo ni brown kilo Moja ni elf 13 tu.....ukiitaji kampani yangu kama ntakua free nichek dm
Poa poa kakaNenda hadi mtwara
Umenikumbusha mbali! Fika shimoni, ukibahatika kufika Mahuta. Hakuna sehemu naipenda kama Newala, ni waungwana na wakarimu ajabu. Mengine ni ya kawaidaAsante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana
Oh nawe unakujua! Kila ntu avena kwao. Aende na ku-NanyambaUsiache kwenda Shimo la Mungu, newala pazuri sana, hali ya hewa nzuri sana, pametulia.
Nilienda nikakaa weekend moja.Oh nawe unakujua! Kila ntu avena kwao. Aende na ku-Nanyamba
Asante sana kaka nitafanya hivyoUmenikumbusha mbali! Fika shimoni, ukibahatika kufika Mahuta. Hakuna sehemu naipenda kama Newala, ni waungwana na wakarimu ajabu. Mengine ni ya kawaida
Thanks kaka nitafanya hivyoUsiache kwenda Shimo la Mungu, newala pazuri sana, hali ya hewa nzuri sana, pametulia.
npo newala mkuu tena pia ni mgeni huku, npo mahali panaitwa juliaKaribu Newala ndugu,,wenyeji tupo hapa,,,leo ulienda Newala Pazuri..kesho elekea Big brother...baa Moja matata sana na bata mzinga kama wote....husisahau kuondoka na korosho Original kutoka hapa Newala....zilizookwa ambazo ni brown kilo Moja ni elf 13 tu.....ukiitaji kampani yangu kama ntakua free nichek dm
mkuu tupo wote huku umakondeniAsante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana
Mwaka huo msiba wa mwalimu niko darasa la 3 ilala primary school iringa.😂😂😂Last time kuwa newala ni 1999 miaka inakimbia
Julia unatafuta nini huko kiongozi c uhamie nangwalanpo newala mkuu tena pia ni mgeni huku, npo mahali panaitwa julia
Ugeni mkuu, lazima nifungwe kamba mguuni mana huku duuh! Wanawez kukurudsha na kilo pungufuJulia unatafuta nini huko kiongozi c uhamie nangwala
Ulikuwa Newala mjiniLast time kuwa newala ni 1999 miaka inakimbia
Nilikua pale Mtwara 97 tukikabidhi bandari kwa Bakili Muluzi.Last time kuwa newala ni 1999 miaka inakimbia
Dogo ulisoma Ilala Primary??nami nilipita pale la kwanza 1987 mpaka la saba 1993,vijana muwe mnatuamkia humuMwaka huo msiba wa mwalimu niko darasa la 3 ilala primary school iringa.[emoji23][emoji23][emoji23]