ukiona hivyo tatizo sio kuulizwa kama amefika kuna Tatizo kubwa lipo nyuma ya paziaaa linamfanya jamaa akose amani.Daaaaah aseee hao wake zenu mnaishi nao vp? Issue ndogo kama hiyo umeshupaza misuli why?!!!!!
Mpigie mkeo msalimie mjulishe kuwa umefika salama joh!
Halafu hii issue ya ULALAMISHI kupita kiasi Haina afya kwa ndoa.
Yaah kuna tatizo lingine ambalo jamaa hasemii..!! Kutokuulizwa ni matokeo tu..Tumesikia upande mmoja wa story, sidhani kama inawezekana unasafiri huwasiliani na mwenza wako japo hata kwa msg, kuna jambo halopo sawa na we cant judge mpaka tusikie upande wa mke
Exactly my point, worse enough anakuja kulalamika hapa badala ampigie mke ajue kama yupo salama au la, unaeza kuta unavimba hapa kumbe mkeo yupo kwenye tatizoYaah kuna tatizo lingine ambalo jamaa hasemii..!! Kutokuulizwa ni matokeo tu..
Kaka Ushayatimba kashapata replacement yakoOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Mume asimame kiume kusolve tatizo badala ya kumwagia petrol anazidi kuukoleza moto.ukiona hivyo tatizo sio kuulizwa kama amefika kuna Tatizo kubwa lipo nyuma ya paziaaa linamfanya jamaa akose amani.
unajua panapo tatizo baina yako na mkeo,ujue tatizo hilo nyie nyote mmelichangia,halijasababishwa na mmoja tu,hivyo kaeni mtafute ufumbuzi wa pamojaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
ππππ huyu kwenye ndoa ni Njuka ,kwani yeye angetoa taarifa kua kafika salama ingekua sahihi sana maana yeye ndio anajua kama kafika au laaLia mwaya.
Ila hizi ndio taabu za kuolewa na last born's.
Hapo kasusaπ€£π€£π€£ππππ huyu kwenye ndoa ni Njuka ,kwani yeye angetoa taarifa kua kafika salama ingekua sahihi sana maana yeye ndio anajua kama kafika au laa
wewe je umetuma kumtaarifu kuwa umefika salama, au lazima yeye?Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Kumbe wenye wake mnatengewaga hadi nguo duh!Ukirudi endelea kupiga kimya kama wiki hivi, USILE CHAKULA CHAKE, WALA KUVAA NGUO ALIZOKUTENGEA .