Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna maneno ulitakiwa kuyafuta kabla ya kupost comment yako.Lia mwaya.
Ila hizi ndio taabu za kuolewa na last born's.
Unampenda sana huyo Mwanamke na yeye analijua hilo na ndio maana anakufanyia vitimbi. Kaza moyo japo inauma na wewe mkaushie tu.Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Mnamlaumu bure huyo mwanamke. Yeye muhusika kwa nini asiseme kama kafika salama anasubiri hadi aulizwe?Kaushaa kimyaa usimtaarifu kama umefikaa.. Kesho msalimie kwa salam kama kawaida ila usiongelee chochote kuhusu safari tumia Akili usitumie hisia kwenye mambo yako..!! Wanawake asilimi 99 mkipishana kauli ndivyo walivyoo ukitaka kwenda nae sawa Usimuulize why hajakuuliza atajua amekuweza.
Mlime block hautomuona tena OnlineOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Kama mlikuwa na mgogoro wakati unaondoka inamaana haujaosha rungu master...na unakaa mda gani ili nimkadirie uvumilivu wake..? Siku nyingine kama huwezi kukaza usimnunie mwanamke.Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Anachat na ampendayewhatsapp yuko mudo wote namuona online.
Mkuu umepga kwenye mshonoInaumiza sana lakini ukweli ni kwamba tayari imeshajionesha ktk ndoa yenu wewe ndo unampenda sana kwahiyo kiburi cha kupendwa kimemuingia.
Hiki ni kiburi kibaya ndani ya ndoa, kiburi kinachomfanya mwanamke asitambue sehemu yako kama mume ndani ya maisha yake.
actually sio mkeo tu,Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?

🤣🤣🤣🤣🤣 Last born's wa kiume hawajawahi kuwa na maana!Kuna maneno ulitakiwa kuyafuta kabla ya kupost comment yako.
Dah! Hili nalo unahitaji ushauri, kwanini ulioa sasa?Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Taratibu mnaanza kuukubali uhalisia sasa, tukisema sisi mnatuita feminists wakati huo ndio ukweli, bado wale waliokuwa wananibishia kwamba mwanaume ndiye anayehitaji zaidi ndoa kuliko mwanamkeAnachat na ampendaye
Ukweli ni kwamba siku hizi wanawake wengi wanaolewa na wanaume wasiowapenda
Wanawake wengi wanalazimika tu kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya umri, kuepuka aibu kwenye jamii na uwepo wa kibunda
Muda wake wa kutombesha kwa mwenye hisia naye za kimahaba
Wanaume wa siku hizi kama mabinti! Hii nayo ni hoja ya kuleta jukwaani?Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
SadInaumiza sana lakini ukweli ni kwamba tayari imeshajionesha ktk ndoa yenu wewe ndo unampenda sana kwahiyo kiburi cha kupendwa kimemuingia.
Hiki ni kiburi kibaya ndani ya ndoa, kiburi kinachomfanya mwanamke asitambue sehemu yako kama mume ndani ya maisha yake.