Tuliposema kataa ndoa ulituona mafaaaaaaalaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliposema kataa ndoa ulituona mafaaaaaaalaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Kiburi kikishaingia ndani ya nyumba ni hatari sana na ni hatari zaidi kama wote ni watu msiokubali kujishusha ili mambo yakae sawa. Kupishana kupo kama binadamu lakini 14 hrs inapita bila mawasiliano na ni wanandoa hii ni hatari. Hapo mwenye kufanya ujinga akidhani anamkomoa mwenzie ndio anapata mwanya.Familia wote mkijifanya much know hamuwezi kufika popote,mi huwa nashangaa inakuwaje mtu mnagombana mpaka unasafiri unaacha mgogoro,I wish initokee hata siku moja make hapa kwangu hata lisaa halipi ugonvi umeisha.
Mtumie meseji kuwa nimefika salama. halafu endelea na hicho kilichokupeleka kwenye hiyo safariOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Wewe ndiye mwenye makosa, ulipofika ulimjulisha kuwa umefika? Ulimjulisha kuwa umefika salama? Kama hujafanya una makosa, fikiria makosa yako kwanza, naona wewe unapenda kupokea, hutaki kutoaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Huwa siongei kimtazamo wangu, kwa sababu ningekuwa naongea kimtazamo wangu basi wanaume wote mngefurahi, mimi huwa naongea uhalisia uliopo tuhapa umeongea ki mlengo wako, the way ulivyofikiri na the way unavyofikir na unavyoona JADDA.
Huwa kuna kauhuru fulani mwenzi akisafiri, hata wewe hapo ulipo kuna namna unajisikia vizuri.
Kwa nini asianze yeye kumjulisha mkewe kuwa kafika?Amekuchoka huyoo, hana hata hofu umefika salama au laa! Na ni mke wa ndoa. Inaumiza kwelikweli,
[emoji23][emoji23]Lenyewe hilo popoma lako limeacha limeyakoroga ndiyo maana hata hawana haja ya kulijulia hali!
Piga chini mkuu, utakufa mapema kwa stressOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Hata kama wamekwazana mke mwema lazma awe na hofu ya mumewe, yeye yupo nyumbani salama, mumewe kaenda kutafta riziki yeye kamlia buyu... hio ni redfag kubwa sanaKwa nini asianze yeye kumjulisha mkewe kuwa kafika?
Wa kwanza kulaumiwa ni mwanaume kwanza kasafiri nyumbani kaacha mgogoro na mpaka anafika anakaa kimya akisubiri mkewe amuanze hii si sawa. Hata mkewe kakosea pia masaa 14 bila mawasiliano na mumewe si vizuri. Wote wana makosa jamaa akiwa anaongoza kukosea.Hata kama wamekwazana mke mwema lazma awe na hofu ya mumewe, yeye yupo nyumbani salama, mumewe kaenda kutafta riziki yeye kamlia buyu... hio ni redfag kubwa sana
Hatujui chanzo cha gumzo Lao nyumbani, ila kitendo cha mkewe kuwa online anachati na watu wengine bila kumjulia hali mumewe ni dosari. Hata sms tu inatosha, ni bora hata kama asingeijibu fresh tuWa kwanza kulaumiwa ni mwanaume kwanza kasafiri nyumbani kaacha mgogoro na mpaka anafika anakaa kimya akisubiri mkewe amuanze hii si sawa. Hata mkewe kakosea pia masaa 14 bila mawasiliano na mumewe si vizuri. Wote wana makosa jamaa akiwa anaongoza kukosea.