Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

FuRsa za geita utaziona kwa macho ila kiuhalisia hazipo,mpaka umtoe kafara ndugu yako
 
I can't live there kwa kweli
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Duuuuh, Mapenzi hayajawahi kuleta maendeleo mzee
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Watu wa Dar mmekariri kuwa mjini lazima pawe na maghorofa marefu.

Mnaugua ugonjwa unaitwa MAGHOROFAMAREFUMANIA.
 
Asante kwa historia hii
 
Uarabu + Uislam baba..... Mahali alipopita Muarabu, akaacha uislamu, sawa na mtu alopita akaachia "USHUZI".....
Huu ni uongo.
Mbona waarabu wenyewe hapa hapa Tz mko nao wana maendeleo kuwashinda??
Huko Kariakoo kote sehem kubwa pamehodhiwa na waarabu.
Katika maendeleo usiingize udini.
RUVUMA,RUKWA,SHINYANGA HAKUJAENDELEA NA IDADI KUBWA YA HAYO MAENEO NI WAKRISTU,JE HILO UNALIZUNGUMZIAJE??
 
Umeongea sahihi maisha sio marahisi kama wengi wanavyodhani
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.


Nimecheka kwa sauti πŸ˜†πŸ˜†

Tanzania kwa ujumla bado sana maendeleo.

Umaskinini umekithiri mno, sio huko tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…