Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Hata nyinyi mtaomtukana kisandu mnamatatizo ya akili...kisandu ni mgonjwa apewe tiba...cognitive therapy
 
Ila jamaa wewe! Nimecheka reply zako kwenye comments za watu.Unachekacheka tu yan.Ila serikali kiukweli mnaumiza watu aisee
 
Salaamj Wana jf.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu. Mimi sitishiki na mamlaka ya kijeshi kwani Majeshi ya Tanzania Ni dhaifu Sana Ila huwa na wachora tu mnavyojiona wajanja kumbe mbumbu wa kutupwa.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM. Mimi najitambua kuliko mitakataka ya CCM. Viongozi CCM wote Ni mbumbu wa kutupwa lakini wanavyojiona wa maana huku hawana Malinda NYUMA ya mapazia yao.

Nimechoma Moto biblia AGANO jipya Mara mbili 2020/2021 baada ya kutambua Yesu sio Mungu Bali Ni mshikaji anayepeleka watu Motoni wakiamini Ni Mungu huku alikuwa mtoto wa usaliti wa kambo wa Yusufu. Mimi sijiungi na Uislamu nako WANAABUDU MAJINI badala ya Mungu. Mungu anaishi rohoni mwangu. Hivyo nimeamua kutimiza ndoto zangu kwa mziki wangu wa HIP-HOP/RNB katika lugha ya kiingereza. Hivyo nimefungua UKURASA MPYA.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
Mkuu, kwa hoja kama hizi, mimi kwa upande wangu naona kama vile wodi za Hospitali ya Mirembe zinakuhusu. Si bure ulipata madhara ya kiakili pale ulipokuwa kolokoloni kwa muda wa miaka mitatu.

Hizo stori za kumbukumbu za malinda zinaonyesha kuna tatizo sehemu fulani. Nakushauri nenda kapate tiba za magonjwa ya kiakili kwanza kabla ujafanya jambo lingine baya ambalo linaweza kuangamiza maisha yako.
 
Umepiga Tai shingoni, Earphonez nazo umezingurusha kwa shingo kama unataka kujiua

Enewei isiwe kesi nlichogundua ni kwamba Sio vyeti havijakusaidia ila elimu yako haijakukomboa
 
Duh, yaani wazazi tuna kazi! Wazazi wa hili takataka nao wanajisifu wamezaa? Nawahurumia sana hawa wazee!
 
Go go go go away i don't need you..go go..hili songi nalikubali sana..ujumbe wa leo ungeusindikiza na goma moja matata.

Ila mwanakwetu acha kutukana majeshi au umekumbuka kurudi kitengule.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Vipi lile pini lake ya "i wandi tu kongratuleti yuuu"...kali sana pia..Don alitulia sana pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don upo sahihi sana kusema vyeti havina msaada wowote, ila yale maarifa uliyopata kwenye elimu. Kama unamaanisha maarifa uliyopata hayana msaada wowote ni bora ungekata kichwa kuliko kuchoma vyeti. Jambo jingine Don, pamoja na maarifa ya dini uliyopata huko kwenye ukatoliki, ndo umekuja na conclusion mbovu namna hii kumhusu Yesu!? jaribu kutuliza kichwa mkuu....
 
Basi sawa isije ikawa ndo tatizo la Global warming hili
 
Mbona umechukua maamzi magumu sana Don.? Au unachangamsha tu jukwaaa,? Nmejalibu kuwaza uamzi wako bado sijajua kwanini umetumia nguvu kubwa sana kumuua sisimizi.
 
Salaamj Wana jf.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu. Mimi sitishiki na mamlaka ya kijeshi kwani Majeshi ya Tanzania Ni dhaifu Sana Ila huwa na wachora tu mnavyojiona wajanja kumbe mbumbu wa kutupwa.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM. Mimi najitambua kuliko mitakataka ya CCM. Viongozi CCM wote Ni mbumbu wa kutupwa lakini wanavyojiona wa maana huku hawana Malinda NYUMA ya mapazia yao.

Nimechoma Moto biblia AGANO jipya Mara mbili 2020/2021 baada ya kutambua Yesu sio Mungu Bali Ni mshikaji anayepeleka watu Motoni wakiamini Ni Mungu huku alikuwa mtoto wa usaliti wa kambo wa Yusufu. Mimi sijiungi na Uislamu nako WANAABUDU MAJINI badala ya Mungu. Mungu anaishi rohoni mwangu. Hivyo nimeamua kutimiza ndoto zangu kwa mziki wangu wa HIP-HOP/RNB katika lugha ya kiingereza. Hivyo nimefungua UKURASA MPYA.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
Dhihaka uliyomfanyia Yesu ndio umejifungia baraka zako milele pole.Yesu ni zaidi ya unavyomfahamu usimchukulie poa.
 
Back
Top Bottom