TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

Mvae barakoa na muepuke kusongamana hasa wakati wa kula,maji tiririka yawepo bila kukata,,sanitizer lita 10
 
Pole sana mkuu CONTROLA, kumpoteza mmoja wa wazazi si jambo jepesi.

Mungu azidi kukupa nguvu na imani.
 
Daah pole sana Mkuu. Ingawa nimechelewa kuiona hii ila tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu na cha mpito.
 
Pole sana Mkuu.
 
Pole Sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…