Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Sugu mtaota nyie wapumbavu WA bashite na samia huko lumumbaNdio mtaota sugu za masaburi hamtawahi kuingia ikulu pumbaff kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu mtaota nyie wapumbavu WA bashite na samia huko lumumbaNdio mtaota sugu za masaburi hamtawahi kuingia ikulu pumbaff kabisa
Limchafue nani bashite mmewahi kumuuliza hela anazogawa barabaran kazitoa wap na zile anazigawa samia kijinga.Suala la fedha za join the chain litawachafua sana cdm. Huyu ni kiongozi mwingine wa cdm anashindwa kutoa majibu ya kuridhisha kuhusu fedha za join the chain.
Afadhali wewe umeliona hilo, huwezi kumpangia muendesha kipindi maswali ya kukuhoji, tena inatakiwa umuache alipange swali lake vizuri akuulize mpaka mwisho ndipo uanze kujibu.Suala la fedha za join the chain litawachafua sana cdm. Huyu ni kiongozi mwingine wa cdm anashindwa kutoa majibu ya kuridhisha kuhusu fedha za join the chain.
Wewe utakuwa CCM, ndio wasiopenda ukweli, unafiki unafiki ndiyo sera yao. Blue is blues not otherwise!•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.
• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.
• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)
• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.
Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujuwa huku ukidhani unatumia freedom of speech.
natamani nikujue .................. then one can make a comparison!Lema ni mmoja kati ya wanasiasa wapuuzi Tanzania ...
Hata hivyo ni mtoa taarifa makini sana.
Sugu ni rapa.Sugu ni hip hop master. Sisi Watu wa hip hop ni watu wa stunts
Dah...haihitaji akili kubwa kiasi hicho kujua uwezo wa Lema...natamani nikujue .................. then one can make a comparison!
Lema yuko vizuri kichwani, Lema is well organized upstairs! Higher power of reasoning!Dah...haihitaji akili kubwa kiasi hicho kujua uwezo wa Lema...
Wewe siyo Retired Bali ni Tired.uT
Wewe utakuwa CCM, ndio wasiopenda ukweli, unafiki unafiki ndiyo sera yao. Blue is blues not otherwise!
Achana na mambo ya mama ametoa fedha, sema serikali imetoa fedha!
Kama umesoma philosophy and psychology, utaona kabisa kuwa Lema anatumia hizi mental faculties vizuri sanaDah...haihitaji akili kubwa kiasi hicho kujua uwezo wa Lema...
Matola ni Chadema aliyetukukaMajoka wa kijani mna wivu sana na vijana wa CHADEMA, baada ya kuona hawanunuliki kindezi umeamua kuja na uzi wa kimama
Jiulize kwanini vijana wa CHADEMA wanapokuja huko wanapapatikiwa na kupewa manyazifa mbalimbali
Mkuu...Lema yuko vizuri kichwani, Lema is well organized upstairs! Higher power of reasoning!
Dah, PhD wazo lako ni zuri mno, lakini umekosea kitu kimoja tu; hivi Lema na Sugu ni vijana?! Au wewe una umri gani? Au umri ni relative term factor? Kama ni hivyo, basi uko sawa. Zamani watu walikuwa wanaishi mpaka umri wa miaka 700, kwahiyo mtu mwenye umri wa miaka 85:aliitwa kijana!•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.
• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.
• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)
• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.
Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujuwa huku ukidhani unatumia freedom of speech.
Umenena! samahani basi..... CCM ni vioja. sasa kila kitu wanasingizia MVUA! ...umeme, maji kukosekana, sukari , mchele, mafuta kupanda..............kila kitu wanasingizia mvua zinazonyesha sasa! Ukiwa na watu kama hao...unajuta kuzaliwa!Wewe siyo Retired Bali ni Tired.
Nitukane matusi yote nitavumilia lakini kuniita Mimi CCM ni kunikosea adabu Sana.
tizo ni kuwa watanzania hawakuzoea naked truth! tumelelewa kwenye kulemba lugha. Lema is not a man of that nature na hicvyo utamuona kama ulivyomuelezeaMkuu...
Tofautisha mtu mwenye karama ya uongeaji na mtu mwenye uwezo wa kureason kimantiki...
Lema namfananisha na Livingstone Lusinde wa CCM...
Ni watoa taarifa, kichwani hamna kitu kabisa...
Hana uwezo wa kufanya mdahalo ukaleta maana ila ana uwezo mzuri wa kuzungumza.
Ila ni wazi Lema ana akili kuliko wapumbavu wengi waliojazwa na ccm pale Bungeni.Hizo weakness zote ulizotaja halafu useme ana akili na iq kubwa?
Watu wenye majivuno Wengi 'hawana akili'...
Lema ni mganga njaa ...aliekuwa street thug akaja kudondokea kwenye siasa...Hana cha ajabu zaidi ya kuwa mkosoaji Tu kama wakosoaji wengine...
Kukosoa hakukufanyi kuwa kiongozi...
Lema..ni overrated Sana na wanachadema
Iwapo unawabagua wa kuwasikiliza, basi pia chagua na wakuwaambia.Kumsikiliza Lema ni kukosa jambo la kufanya