Nimefuatilia mahojiano ya Godbless Lema na Odemba Star TV na hizi ndio findings zangu

Nimefuatilia mahojiano ya Godbless Lema na Odemba Star TV na hizi ndio findings zangu

Suala la fedha za join the chain litawachafua sana cdm. Huyu ni kiongozi mwingine wa cdm anashindwa kutoa majibu ya kuridhisha kuhusu fedha za join the chain.
Afadhali wewe umeliona hilo, huwezi kumpangia muendesha kipindi maswali ya kukuhoji, tena inatakiwa umuache alipange swali lake vizuri akuulize mpaka mwisho ndipo uanze kujibu.
 
uT
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.

• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.

• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)

• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.

Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujuwa huku ukidhani unatumia freedom of speech.
Wewe utakuwa CCM, ndio wasiopenda ukweli, unafiki unafiki ndiyo sera yao. Blue is blues not otherwise!
Achana na mambo ya mama ametoa fedha, sema serikali imetoa fedha!
 
uT

Wewe utakuwa CCM, ndio wasiopenda ukweli, unafiki unafiki ndiyo sera yao. Blue is blues not otherwise!
Achana na mambo ya mama ametoa fedha, sema serikali imetoa fedha!
Wewe siyo Retired Bali ni Tired.

Nitukane matusi yote nitavumilia lakini kuniita Mimi CCM ni kunikosea adabu Sana.
 
Hawa CCM ni wakuda yaani ukikusanya uvccm wote bara na visiwani ukawaongeza nape,mwigulu, January, Bashe,bashite na wengine hesabu mpaka 50 huwezi kumpata Lema hii ni asset kubwa kwa chadema na CCM wanajua ila wanajitahidi kudanganya .cc sio pimbi tunajielewa.
 
Lema yuko vizuri kichwani, Lema is well organized upstairs! Higher power of reasoning!
Mkuu...

Tofautisha mtu mwenye karama ya uongeaji na mtu mwenye uwezo wa kureason kimantiki...

Lema namfananisha na Livingstone Lusinde wa CCM...

Ni watoa taarifa, kichwani hamna kitu kabisa...

Hana uwezo wa kufanya mdahalo ukaleta maana ila ana uwezo mzuri wa kuzungumza.
 
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.

• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.

• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)

• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.

Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujuwa huku ukidhani unatumia freedom of speech.
Dah, PhD wazo lako ni zuri mno, lakini umekosea kitu kimoja tu; hivi Lema na Sugu ni vijana?! Au wewe una umri gani? Au umri ni relative term factor? Kama ni hivyo, basi uko sawa. Zamani watu walikuwa wanaishi mpaka umri wa miaka 700, kwahiyo mtu mwenye umri wa miaka 85:aliitwa kijana!
 
Wewe siyo Retired Bali ni Tired.

Nitukane matusi yote nitavumilia lakini kuniita Mimi CCM ni kunikosea adabu Sana.
Umenena! samahani basi..... CCM ni vioja. sasa kila kitu wanasingizia MVUA! ...umeme, maji kukosekana, sukari , mchele, mafuta kupanda..............kila kitu wanasingizia mvua zinazonyesha sasa! Ukiwa na watu kama hao...unajuta kuzaliwa!
Obbiter: I am a retired senior citizen, a UDSM graduate of 1983!
Mkuu...

Tofautisha mtu mwenye karama ya uongeaji na mtu mwenye uwezo wa kureason kimantiki...

Lema namfananisha na Livingstone Lusinde wa CCM...

Ni watoa taarifa, kichwani hamna kitu kabisa...

Hana uwezo wa kufanya mdahalo ukaleta maana ila ana uwezo mzuri wa kuzungumza.
tizo ni kuwa watanzania hawakuzoea naked truth! tumelelewa kwenye kulemba lugha. Lema is not a man of that nature na hicvyo utamuona kama ulivyomuelezea
 
Hizo weakness zote ulizotaja halafu useme ana akili na iq kubwa?
Watu wenye majivuno Wengi 'hawana akili'...
Lema ni mganga njaa ...aliekuwa street thug akaja kudondokea kwenye siasa...Hana cha ajabu zaidi ya kuwa mkosoaji Tu kama wakosoaji wengine...
Kukosoa hakukufanyi kuwa kiongozi...
Lema..ni overrated Sana na wanachadema
Ila ni wazi Lema ana akili kuliko wapumbavu wengi waliojazwa na ccm pale Bungeni.
 
Back
Top Bottom