Nimefuatilia mtiririko wa visa, ni wazi kuwa Ndugai aliota mapembe na alikuwa akimdharau sana Rais Samia

Nimefuatilia mtiririko wa visa, ni wazi kuwa Ndugai aliota mapembe na alikuwa akimdharau sana Rais Samia

Kwani JPM alipokopa aliwekwa mfukoni kwake?kazi ilionekana, na ubabe wake ulimsaidia kuchapa kazi.
 
Mpumbavu Sana haki ya nan huyu jamaa lazima tumtoe hawez kumdharau mama kias kile
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Apigwe tu risasi 16,kwani tatizo liko wapi jamani? Mbona kazi ni ndogo sana. Jiwe aliweza Samia anafeli wapi? Na asipelekwe nje ya nchi kwenye matibabu bila kibali mpaka aanzie mhimbili national hospital.
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
 
Ndugai anadharau wanawake. Anawaona hawana akili, kazi yao ni kutoa burudani kitandani
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Naunga mkono hoja

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Wazanzibar hamuwezi kusema kero za muungano kwa sasa maana mama anapora vya bara anawletea. Siku ipo madeni mtayalipa tu
 
Ndugai anahoja zipi za kijinga zile?

sasaivi kuna mikopo iko matured na haikukopwa na Rais samia, Rais anachokifanya anachukua mikopo isiyo na Riba na anaenda kulipa kwenye hiyo yenye Riba

hivi zaidi ya hilo mlitaka afanyeje? hii nchi haiwezi kulipa madeni na bado ikatumia fedha za ndani kuendeleza miradi, akifanya hivyo atashindwa hata kulipa mishahara ya watumishi,

sasabkipi bora akope mikopo ya kibiashara kama JPM au akope mikopo isiyo na riba?
Kuna watu hawajui tofauti ya mikopo kutoka mabenki ya kibiashara na mikopo kutoka WB, IMF, AfDB etc.
 
Alimwona mwendazake kama Mungu wake...

Ikulu ilikuwa kama nyumbani kwake...

Hakuna shughuli aliyoifanya Mwendazake, mgogo asiwepo.

Alipoingia mama akakata mguu kutinga ikulu. Akianza kuikandya serikali kiaina.

Siku akauliza siku hizi mbona watu wa serikali hawaonekani Dodoma. ... hili lilikuwa dongo la kwanza kabisa kwa mama....

Baadae ile kauli "haina haja ya kusema mimi mwanamke, tunajua wewe ni mwanamke".... dongo la pili mama katulia tu

Sasa hili la mikopo.... wakati awamu zote zilizopita walikopa na mgogo nakusoma kitu... mama akaona isiwe tabu

Akamtengenezea bonge la taarab.... mgogo kachemka kuicheza kaenda zake kutulia nyumbani

Taarab la Samia, Khadija Kopa anasubiri sana.
Khadija kopa anasubiri [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa msiojua Ndugai alianza kuidai Serikali itekeleze mradi wa Bandari ya Bagamoyo anzia mwaka 2019 kipindi hichi bado Magufuli hajafariki, kwaiyo nyie semen kuwa hamtaki kusikia mawazo mengine



wanatafuta kichaka wanasahau mama kapoteza kabisa ushawishi nayeye anafahamu.

ndugai kaanza kumjaribu jpm kwenye hili la bwawa,na hakuiwahi kuomba msamaha.

majitu sijui yanawaza kitu gani.
 
Umeandika kwa ushahidi,hata mimi nilikuwanafuatilia matamshi yake ya mwanzo hadi ya mwisho ana chuki sana na Samia,hakupenda awe rais.Ndugai ni muhaini
 
Ndugai anahoja zipi za kijinga zile?

sasaivi kuna mikopo iko matured na haikukopwa na Rais samia, Rais anachokifanya anachukua mikopo isiyo na Riba na anaenda kulipa kwenye hiyo yenye Riba

hivi zaidi ya hilo mlitaka afanyeje? hii nchi haiwezi kulipa madeni na bado ikatumia fedha za ndani kuendeleza miradi, akifanya hivyo atashindwa hata kulipa mishahara ya watumishi,

sasabkipi bora akope mikopo ya kibiashara kama JPM au akope mikopo isiyo na riba?
Hapo ndipo myopia inapokuja. Tafuta uzi unaosema "Serikali inapokopa kulilpa madeni, ni maendeleo?", utaelewa kinachozungumziwa.
 
Alimwona mwendazake kama Mungu wake...

Ikulu ilikuwa kama nyumbani kwake...

Hakuna shughuli aliyoifanya Mwendazake, mgogo asiwepo.

Alipoingia mama akakata mguu kutinga ikulu. Akianza kuikandya serikali kiaina.

Siku akauliza siku hizi mbona watu wa serikali hawaonekani Dodoma. ... hili lilikuwa dongo la kwanza kabisa kwa mama....

Baadae ile kauli "haina haja ya kusema mimi mwanamke, tunajua wewe ni mwanamke".... dongo la pili mama katulia tu

Sasa hili la mikopo.... wakati awamu zote zilizopita walikopa na mgogo nakusoma kitu... mama akaona isiwe tabu

Akamtengenezea bonge la taarab.... mgogo kachemka kuicheza kaenda zake kutulia nyumbani

Taarab la Samia, Khadija Kopa anasubiri sana.
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom