Nimefuatilia mtiririko wa visa, ni wazi kuwa Ndugai aliota mapembe na alikuwa akimdharau sana Rais Samia

Nimefuatilia mtiririko wa visa, ni wazi kuwa Ndugai aliota mapembe na alikuwa akimdharau sana Rais Samia

Ndugai alimuattack mh. rais personally tena mbaya zaidi akampiga mkwara kuhusu 2025. Alipoharibu kabisa ni pale aliposema kuwa yale maneno yameditiwa na akaomba msamaha, what a fool!!
Magufuri alikopa sana bila kushirikisha bunge na kuwaaminisha wananchi kuwa nchi ni tajiri na miradi yote inasimamiwa kwa fedha za ndani na kipindi chote hiko hakuwahi kuhoji kuhusu mikopo zaidi za kujipendekeza kwa Magufuri. Hoja aliyoitoa haina mashiko, hakuna rais ambaye hajawahi kukopa so tumuache SSH ajenge nchi.
Ndugai ajiuzulu tu kwa mustakabari wake wa kisiasa
 
Wote ni wahuni wa CCM ile ile inayotusumbua kila kukicha watamalizana wenyewe huko huko wasituchoshe.
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Hatumkubali spika kutokana na jinsi alivyoendesha bunge kibabe na kuendelea kuwalipa wabunge wasio na chama kodi zetu ila HojA yake ina mashiko lazima tuijadili na tupate majibu sahihi
 
Ndugai akikaidi kujiuzulu, atabaki kama mbwa asiye na meno, asiye weza kuona Wala kunusa. Itabidi asitoe maoni yoyote kinyume Cha serikali,wala kuchomekea vimaneno muda wa kuahirisha bunge. Labda awe anachomekea tu mambo ya Simba na yanga. Maneno ya Ndugai ni ya kumchonganisha Rais na wananchi.
 
Ndugai aondoke hatuna kiongozi pale ni mazoea tuu kodi zote hizi na sheria zao ndio wametunga wao ukimuuliza nae anashangaa hamna wachoishauri serikali zaidi ya kuongeza Tozo na kodi mpya kila kukicha..
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P)
pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?


Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima


Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Mama atakuwa amevumilia sana madhara ya mfumo dume kwa muda wote tangu kuapishwa kwake kuwa makamu wa rais. Atakuwa kavumilia dharau za kila aina kutoka kwa wasaidizi wake na wote wanaomzunguka.

Kaona sasa inatosha ngoja apambane na mtu ambaye anamdharau hadharani kwa kutumia kofia yake ya urais.
 
Hapo ndipo mnapokosea kuangalia nani kasema badala ya nini amesema. Kubeba uchungu na kufurahia kwa misingi ya visasi, hakutakuondoleeni dhiki ya makosa yanayofanyika kama yapo.

CCM walipinga kila kilichosemwa bungeni na wapinzani, wakipigia makofi kila hoja ya serikali matokeo yake wamejikuta wako chaka, wanaanza kutoana macho wkati wamechelewa.

Ninaomba tujikite kujadili hoja ya Ndugai, hayo makosa yake yapo tu na yanaweza kujadiliwa lakini tusi nullify hoja nzito na za msingi na zenye maslahi kwa taifa eti tu kwa vile aliyesema ni mtu tuliye na uchungunaye. Haitupeleki kokote.

Ushabiki wa kufuata mikumbo ama misimamo ya kisiasa haina tija linapokuja suala la mustakabari wa Taifa. Vinginevyo hatutakuwa tofauti na mafisadi wa ccm.
JPM kwa miaka mitano na miezi mitatu alikopa trilioni 29.3 Ndugai akawa kimya kabisa kama haoni kinachoendelea.

SSH amekopa trilioni 1.3 Ndugai anaanza masimango kama vile hakuona kilichofanyika kuanzia 2015-2021 February. Huo ndio unafiki wenyewe.
 
Alimwona mwendazake kama Mungu wake...

Ikulu ilikuwa kama nyumbani kwake...

Hakuna shughuli aliyoifanya Mwendazake, mgogo asiwepo.

Alipoingia mama akakata mguu kutinga ikulu. Akianza kuikandya serikali kiaina.

Siku akauliza siku hizi mbona watu wa serikali hawaonekani Dodoma. ... hili lilikuwa dongo la kwanza kabisa kwa mama....

Baadae ile kauli "haina haja ya kusema mimi mwanamke, tunajua wewe ni mwanamke".... dongo la pili mama katulia tu

Sasa hili la mikopo.... wakati awamu zote zilizopita walikopa na mgogo nakusoma kitu... mama akaona isiwe tabu

Akamtengenezea bonge la taarab.... mgogo kachemka kuicheza kaenda zake kutulia nyumbani

Taarab la Samia, Khadija Kopa anasubiri sana.
pengine kuna kalaana sehemu pia.
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P).

pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?

Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima

Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Tena vyomba vya dola inatakiwa vimtie nguvuni ataje kikundi Cha wahaini wenzie, wasitake kutuharibia Tanzania yetu wapuuzi hawa
 
Pambanisha Ndugai na Samia tu.

Ukimtaja hayati JPM hautafanikiwa. JPM ni chuma kingine.
 
JPM kwa miaka mitano na miezi mitatu alikopa trilioni 29.3 Ndugai akawa kimya kabisa kama haoni kinachoendelea.

SSH amekopa trilioni 1.3 Ndugai anaanza masimango kama vile hakuona kilichofanyika kuanzia 2015-2021 February. Huo ndio unafiki wenyewe.
Sio tu mnafiki,huyo ni muhaini kabisa
 
Hauhitaji Phd kutambua kwamba Ndugai hampendi mama. Anamchukia kisa tu ni Mwanamke. Huyu si wa kucheka nae huyu.Ajiuzulu tu
Anamdharau Sana Rais, kujiuzulu pekee hakutoshi, Kuna jinai pia inamuhusu,alichofanya kwasisi wakongwe Kuna kila dalili za uhaini
 
Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P).

pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya zile zilizotegemewa na hasemi,

Kipindi cha JPM mikopo mingi ilikopwa bila kuidhinishwa na bunge, miradi mingi ilifanyika bila kupitishwa na bunge, sikuwai kusikia hata sikumoja ndugai anasemea haya zaidi tu ni kuwa wapinzani walikua wakiibua hizi hoja anawazima,

Ndugai alimtii sana JPM na alimuheshimu kama Rais kamili

Tatizo lilikuja tu alipoapishwa Rais mwanamke, nafikiri hapa tatizo ni jinsia

Ndugai alianza kuota mapembe nakumbuka mtiririko wa visa Ndugai mbele ya hadhara na Media anasema "mwanamke ni mwanamke tu, huwezi kujilinganisha na mwanaume, unaenda kila sehemu unajisema wewe ni mwanamke kwani nani hajui? " hapa ni dhahiri kabisa Job alimlenga Rais na ukifuatilia clip ile ni wazi kabisa alikuwa akimteta Samia Suluhu.

Mbali na hilo nakumbuka siku ya kupokea fedha za uviko ile hafla Ndugai alipopewa nafasi ya kuongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, Ndugai alikuwa akilalamika waliopanga ujenzi wa madarasa wapange kulingana na idadi ya watu wa kwenye majimbo, ni kweli kauli yake ilikuwa na mantiki lakini kwa namna alivyoongea ni kama vile alikuwa anafokea watu, imagine Sehemu ambayo na Rais yupo unaongea kama unafokea watu as if wewe ndio kiongozi mkuu upo unahutubia watoto, nilijiuliza sana siku ile ila nikanyamaza,

Hii ya kuhusu mkopo wa juzi huyu Job inawezekana alichoongea kina mantiki lakini ni kwa namna gani alikiwasilisha, alikuwa anamfokea nani pale? Ni kama vile alikuwa anamfokea aliyefuata huo mkopo, na kwanini ahusishe mkopo ule na uchaguzi wa 2025? kwanini aliwahii kisema uchaguzi wa 2025 tutaamua wenyewe?

Aisee itoshe tu kusema Ndugai aliota mapembe akaanza kujiona yeye ndio mkuu wa nchi Ndugai hana uchungu wowote na nchi hii isipokua hamataki Rais Samia, na hamtaki kwasababu ni mwanamke kiufupi Ndugai ana dharau hafai kuendelea kuwa spika wa Bunge amekosa heshima

Afukuzwe iwe fundisho kwa wote wenye dharau za kijinga

Anachofanya ni uhaini, Afukuzwe bila kuonewa haya angekuwa na uchungu na hii nchi asingeacha JPM akaenda kukopa mikopo ya kibiashara tena ya muda mfupi, angalia leo hii hata reli ya SGR haijakamilika lakini mikopo yake imeshaanza kurejeshwa tena na Riba juu, Ndugai alikuwa halijui hilo? Ndugai anajua nchi inapoteza shingapi kwa kuwalipa wabunge wasio na vyama? Ana uchungu gani na hii nchi huyu mtu analeta chuki zake binafsi dhidi ya Rais

Nataka kumwambia Job acheze na wabunge wake huko Taasisi ya Urais aachane nayo, dharau zake apelekee wagogo huko
Nyie ndio mnapaka mafuta samia kwa mgongo wa chupa huku mkimng'ong'a kwa dharau. Kinachowafanya msiropoke ni kutanguliza tumbo tu. Si ndio nyie mnasema hamumtaki mzanzibari atawale bara? Si ndio nyie mlioanza kutengeneza timu za 2025 mkiongozwa na yule mkuu wenu wa kusini? Tena kuna yule kiherehere alivyosikia jobu anajiuzuru akajifanya anamuwahi kumwambia. Tunawajua nyie wachumia tumbo vizuri kuliko mnavyojijua😂😂😂
 
Ndugai anahoja zipi za kijinga zile?

sasaivi kuna mikopo iko matured na haikukopwa na Rais samia, Rais anachokifanya anachukua mikopo isiyo na Riba na anaenda kulipa kwenye hiyo yenye Riba

hivi zaidi ya hilo mlitaka afanyeje? hii nchi haiwezi kulipa madeni na bado ikatumia fedha za ndani kuendeleza miradi, akifanya hivyo atashindwa hata kulipa mishahara ya watumishi,

sasabkipi bora akope mikopo ya kibiashara kama JPM au akope mikopo isiyo na riba?
Mkuu achana hao sukuma gang washenzi,unapoteza nguvu bure hata shetani hakosi watetezi.
 
Back
Top Bottom