Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Lisu simuelewi katika hilii...
Mtaalamu wa Sheria za mikataba badala uchambue mkataba unatumia dakika tatu knaongea upuuzi kama huo.
Kusema mkataba ni WA hovyo bila justification ni upumbavu mtupu na ndio maana JPM alimfanyia kazi.
Asuburi aone wale wenzake waliopeleka kesi mahakamani kimihemko watakavyoangukia pia.
Hivi maana ya upinzani ni kupinga kila kitu?
Mbona wenzetu hata waliotuletea vyama vingi ikifika issue ya kitaifa wanaungana?
Huwezi muelewa
 
Huwezi pendwa na wote na mnaoendelea kumpenda hayati endeleeni ngoja sisi twenda na Lissu
Ndiyo tunaendelea.
Muacheni akaze fuvu asisawazishe mambo halafu utaona kama atashinda[emoji1787]
 
Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
Tundiu Lissu awe Rais wa [emoji1241]!!!
 
Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
Tundu Lissu ndio Deal kwa sasa hata Deep State inajua hilo.......sema tu basi
 
Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
Sukuma Gang sahauni kutawala nchi hii.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mwanetu katema cheche huko
 
Back
Top Bottom