Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
Lissu habebeki hata kwa kanga ya chuma. Mdomo wake ndio unaomponza yueye na wote wanaotaka kumuunga mkono.
 
Tundu Lissu HAWEZI kamwe kumkubali mtu aliyetaka KUMTOA UHAI wake kwa rosasi 16 alizomiminiwa mwilini.

Kama ametumia jina Magufuli kwenye maneno yake basi ametumia ili kujenga hoja anayotaka kuifikisha kwenye hadhira aliyoilenga
Ungana na Lissu kwenda CHATO kutubu na kukiri UZALENDO wa Magu 🙏🙏
 
Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo mmewaona Wasukuma ni wajinga na wamesahau matusi yenu?
 
Hii nchi inahitaj raisi aliye stable kichwani,msomi mzuri siyo vyeti vya unga unga,mwenye maamuzi na mwenye uelewa mkubwa wa dunia na aliye neutral.
hili tutusu tulilo nalo kwenye ofisi ni mzigo...ni matope yamemjaa kichwani.
 
Thubutu, labda kura za KkKT ziwatoshe.

Hao maaskofu wakikatoliki wanaowachekea sasa hivi, barua moja tu kutoka vatikano wanawageuka.
 
Thubutu, labda kura za KkKT ziwatoshe.

Hao maaskofu wakikatoliki wanaowachekea sasa hivi, barua moja tu kutoka vatikano wanawageuka.
Tangia utete uuzwaji wa nchi, hapa jukwaani members hawana hamu na wewe
 
Back
Top Bottom